Jinsi ya kupata kazi za remote katika mashirika ya kimataifa yaliyo nje

Mjomba, kila kitu kinafaa kwa wakati wake.
Huwezi kula tunda muda wote.

Na huwezi fanya kazi muda wote.

Vyote muhimu lkn kwa wakati wake.

Hawa wajumbe humu, ndio hawa hawa wachangiaji kwa uzi wa kimasihara pia😂😂
Hahahahaha..!!!
 
Watu wengi humu wana stress za TGS na wengine ni jobless.

Akisikia mtanzania mwenzie analipwa pension yake ya uzeeni kwa miezi miwili tu basi roho inaumuuma na kumfukuta.

Sema ndio life.
Yaani kwa kweli, unashangaa mtu ana comment kwa hasira kweli kweli. They should just take a chill pill.
 
Asante sana mkuu kwa hii post yako, na asante pia kuni tag, nimeanza kupata jibu la post niliyo i post siku kadhaa nyuma, hakika wewe ni hazina na JF iishi milele.

Naona nyingi zinataka uwe resident wa huko US au sijaelewa hii sentence "Remote USA"?
 
Uzi mzuri sana huu
 
Asante sana mkuu kwa hii post yako, na asante pia kuni tag, nimeanza kupata jibu la post niliyo i post siku kadhaa nyuma, hakika wewe ni hazina na JF iishi milele.

Naona nyingi zinataka uwe resident wa huko US au sijaelewa hii sentence "Remote USA"?
Yes, kuna ambazo zimeandikwa hivyo, maana yake zinakutaka uwe kule USA. Target zile zilizoandikwa "Remote Anywhere", au "Remote Africa"
DA HUSTLA
 
Mbona sijaona anataja mshahara wake.!

Hiyo $7500 vp..!?
Kuna uzi alianzisha mkuu. Anasema anakaa nyumbani bongo analipwa $7500 kwa mwezi.

 
Data gani umesomea hadi ulipwe $7500 kwa mwezi bila ya uthibitisho au ushahidi wowote? Tuwekee mfano wa kazi ya "data" unayodai ambayo mtu analipwa $7500 kwa mwezi kwa kufanya kazi remotely, ambapo Mwajiriwa yupo Africa na Mwajiri yupo USA au hata Mwajiriwa na Mwajiri wote wapo USA penyewe, na Mwajiriwa anatakiwa kwenda ofisini kila siku huko USA. Weka angalau mfano wa hiyo job listing.
 
Uzi Mzuri sana.
Binafsi niliwahi kufanya miaka ya nyuma kupitia 'upwork' nilipata kwenye startup fulani ipo USA.
Naomba utoe ujizi wako kwenye hizi changamoto kwa hizi 'freelance work'
1. Changamoto ya malipo iliyopo kwa nchi yetu tz na PayPal na mifumo mingine ya malipo eg. Direct transfer kwenye upande wa makato[transfer fees]
2. Kazi nyingi huwa ni za muda mfupi [ nini huwa unafanya katika hili?]
3. Kwa watanzania ninaona shida yetu kubwa kwenye hili sio kuwa competent kwenye ujizi usika bali ni kwenye matumizi ya supporting tools e.g ms office tools sanasana kwenye excel na PowerPoint na email kwa wachache sana[ tafdhali toa maoni katika hili]
4. Lugha [ hapa naomba utoe ushauri mwingi sana maana kwa mtazamo wangu ndio kiini cha hizi kazi]
 
Kati ya watu wote milioni 300 wanaoishi USA, Mwajiri akulipe wewe $7500 kwa mwezi kwa kazi ya "Data" ukiwa Bongo Africa ilhali kutwa upo humu Jamiiforums? Hizo job sites ulizoweka hazijulikani. Nadhani unataka kuwapiga watu kupitia gia ya hizo job sites feki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…