Jinsi ya Kupata watoto Mapacha kwa njia ya kawaida

Jinsi ya Kupata watoto Mapacha kwa njia ya kawaida

Zinduna, kuna ushahidi wowote juu ya hizi njia ulizotoa?

kiasili tunajua kwamba watoto mapacha wanaendana na history ya mzazi, kama kwenu huwa mna nature ya kuwapata hao, basi utakakooa aua kuolewa, kuna uwezekano pia wa kupata watoto mapacha...
 
Last edited by a moderator:
Aina ya mapacha wanaotokea mara nyingi ni wale wanaotokana na mayai mawili tofauti (Fraternal twins). Hawa wanatokea wakati mayai mawili yanapotoka na kurutubishwa na mbegu (sperms) mbili tofauti. Kwa upande wa pili, mapacha wanaofanana (identical twins) wanatokana na kugawanyika kwa yai moja lililorutubishwa na mbegu moja wakati wa hedhi. Ni nadra sana kupata mapacha wa namna hii kwa njia ya asili.

Unaweza kuongeza uwezekano wa kupata mapacha kwa njia ya kawaida (asili) lakini nyingi ziko nje ya uwezo wa mwanamke. Kuwa na historia ya kuzaliwa mapacha katika ukoo wako, inaweza kuongeza matumaini ya kupata mapacha, hasa kwa mapacha wasiofanana. Hii inatokana nasababu za ki-jenetiki kutoka kwa mmoja wa ndugu wa wazazi. Hii Gene ya mapacha (twin-gene) inaweza kupasishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Hii hali, haihusu sana mapacha wanaofanana.

Hali nyingine inayoweza kupelekea kupata mapacha ni asili pamoja na umri. Wanawake wa asili ya kiafrika wana uwezekano mkubwa wa kuzaa mapacha kuliko wazungu au wahindi. Aidha wanawake wenye umri mkubwa wana uwezekano mkubwa wa kuzaa mapacha kuliko vijana. Mambo mengine ya kufanya ili kuwa na uwezekano mkubwa wa kuzaa mapacha ni haya: - Kunywa kidonge cha folic acid. Kuna uwezekano mkubwa wa kupata mapacha ukitumia kidonge cha aina hiyo wakati wa kuelekea hedhi. - Ongeza uzito.

Baadhi ya tafiti, kwa mfano ile iliyotolewa mwezi Machi mwaka
2005 (Obstetrics & Gynecology study) inaonyesha kwamba, mtu mwenye uzito mkubwa ana uwezekano mkubwa wa kuzaa mapacha. - Unywaji wa maziwa pamoja na kula vyakula vinavyotokana na maziwa (dairy products) kunapelekea uwezekano mkubwa wa kuzaamapacha. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Dr. Gary Steinman, daktari wa Long Island Jewish Medical Center, wanawake wanaokula vyakula hivyo wana uwezekano wa kupata mapacha mara tano zaidi ya wale wasiotumia. - Kuendelea kunyonyesha. Kama unanyonyesha mtoto na unataka kuzaa mapacha, endedelea kufanya hivyo unapokuwa umetunga mimba. Utafiti mmoja unaonesha kwamba, mwanamke anayenyonyesha wakati ameshika mimba, chances za kupata mapacha ni mara tisa zaidi ya yule asiyenyonyesha.

Kila la kheri BINTI77
 
Hii ya Genetics kama ina ukweli hivi

Kwetu katika kila generation kuna twins na in every case in a boy and a girl. Babu yangu alikuwa na wadogo zake mapacha. Naye akaja akazaa mapacha(one of them my father). Akawa anawajukuu mapacha (again a boy and a girl). Bado generation yetu wajukuu....
 
Mimi ni fratenal twin,na mama yangu alipata mapacha mara mbili,i min mdogo wangu nae ana pacha wake...i really hope nami nitapata pacha.
 
Mkuu.@CUT Kupata mapacha itabidi upate Mwanamme aliye zaliwa mapcha ukiolewa nae utapata mapacha

kwa asilimia 99 ninakupa, ungelikuwa ni karibu na mimi ningelikuowa mimi ili upate mapacha kama hujaolewa.

Mimi nimezaliwa Mapcha na katika familia yetu tunao asili ya mapacha dada zangu wakubwa wawili ni

mapacha na mimi mwenyewe ni mapacha na mwenzangu wa kike ameshafariki miaka 23 iliyopita ndio hivyo .
yap..habari za eat yams zote stori tuu, pacha huzaa pacha
 
yap..habari za eat yams zote stori tuu, pacha huzaa pacha
Mkiwa katika familia mupo pacha basi watoto zenu watakuwa pia mapacha mimi kwenye familia yangu tupo mapacha mara mbili dada zangu wakubwa wawili mmoja ameshafariki na mimi a ndugu wangu wa kike tulikuwa tupo mapacha na dada zangu wengine wamezaa mapacha akitaka mtu mapacha anitafute mimi nitampa. Kwa sababu mimi mwenyewe mapacha.
 
Eat yams.
There are certain cultures that have more twins than others. One of these is a tribe where they eat a lot of yams. There is a theory that it is a certain chemical in the yams that helps the women in this culture have more twins.

Be breastfeeding when you get pregnant.
Recent studies show that if you are breastfeeding when you get pregnant that you are more likely to have twins. This is said to be caused by the depletion of calcium in your system while nursing and its effect on the egg during conception and ovulation.

Be older when you get pregnant.
The older you are when you get pregnant, the more likely you are to have twins. This may be because of an increased ovulation of multiple eggs, resulting in more dizygotic or fraternal twins.

Be a twin.
Twins have a higher rate of having twins themselves. Unfortunately you can't really influence this one.

Have a family history of twins.
If you have a family history, mostly a maternal history, then you are at an increased chance of having twins yourself. These are mostly dizygotic or fraternal twins and not monozygotic or identical twins. This comes from the ability to ovulate more than one egg at any given point in ovulation.

Be a certain ethnicity.
African Americans have a higher rate of twinning than other ethnicities.

Take fertility drugs.
There are actually practitioners who prescribe fertility medications like Clomid to increase the chances of having twin by inducing multiples eggs being released in ovulation. You'd be hard pressed to find one of these physicians, but they are out there. The problem is that there are risks to taking fertility drugs and it should be reserved for people who are having trouble conceiving. There are also increased risks of having a multiples pregnancy, even with "only" twins.

Try fertility treatments.
Fertility treatments that go beyond fertility drugs are used only for those families that truly need it. Procedures like in vitro fertilization (IVF) and others can increase the chances that you will have twins or other multiples. Not only do they increase the risk of dizygotic twins, but also there appears to be an increase in monozygotic or identical twins.



Source: Increase Your Chances of Having Twins

Nimeipenda sana hii njia ya Kula "Yams' YAANI VIAZI VIKUU AU VILE AMBAVY VIAZI VYAKE VINAOTA KATIKA MAJANI BADALA YA KTK MIZIZI NI VIZURI SANA KUONGEZA UWEZEKANO WA KUPATA MTOTO HATA KWA WALE AMBAO WANA SHIDA YA KUPATA WATOTO VITUMIE NA NAAMINI UTAPATA MATOKEO MAZURI.
PIA USISAHAU KUWA MUNGU NDIE ANAYETOA ZAWADI YA WATOTO
 
Hao mapacha jamani raha wakikua ila wakiwa wadogo kama wasumbufu afu mwenzako akiwa sio mlezi utahangaika nao unaweza sema sizai tena ila wakikua rahaaa
Kwa utamaduni wetun huuuu!! Wanaume tuachieni wenye wee tu baadhi yetu tupo OVYOOO ! twatoka nje nakujisifu ati nimpiga kazi nimeleta pacha!! Lakini hatutoi msaada wala uji hatuwezi saidia. sembuse malezi!
 
Back
Top Bottom