mwana ally
JF-Expert Member
- Jan 30, 2014
- 363
- 119
daFakhrina na wengine ...Naomba kuelekezwa kupika pizza..nazipenda sana ila sijui kuziandaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siagi inayoongelewa ni blueband au ile inayotolewa kwenye maziwa nachanganikiwa hapo msaada tagafhali
Asante Fakhrina..niulize swali hivi chapati ipi ni tamu na laini zaidi ..ya kukanda na maji baridi au ya kukanda maji moto..nasubiri maelekezo..nakuaminia
ndio hapo napokupendea chapati laini imeiva tamu haina mafuta mengi
huwa napenda analysis ya farkhina
Hongera kwa mapishi yako farkhinaKwa wale ambayo mnatumia whole grains hii inawahusu...
Mahitaji
Unga wa ngano weupe nusu kilo
Unga wa atta nusu kilo...
Chumvi kiasi
Maji ya uvuguvugu....
Samli vijiko 6 vya kulia vijaze...
Extra virgin olive oil vijiko vitatu (waweza tumia mafuta yoyote)...
Namna ya kutaarisha...
Changanya unga na samli na mafuta pamoja na chumvi...
Weka maji ya uvuguvugu na ukande kama chapati za kawaida...
Ukimaliza kukanda weka unga wako katika mfuko mweupe na safi (wraps)....wacha kwa nusu saa
Zungusha chapati zako na uziache kdg...
Sukuma na kaanga kama chapati za kawaida....
Tayar kwa kuliwa...
Hongera kwa mapishi yako farkhina
Ahsante mkwe
Nimeona mkono wako Farkhina we mzungu,ng'warabu au ????