Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Hodi tena wapishi wenzangu

Eti katika upishi wa chapati unga unaofaa ni unga wa ppf??
 
Hodi tena wapishi wenzangu

Eti katika upishi wa chapati unga unaofaa ni unga wa ppf??

Ppf Ni mzuri sn Kwa mapishi yote ya unga unga. Ila kiafya unga mzuri Ni wa atta. Maana haujakobolewa sn. Ni ngano fresh.
 

Attachments

  • 1440648395743.jpg
    61.5 KB · Views: 317
Hivi hii ya kutumia maji ya baridi inakuwaje? mbona wengine wanashauri maji ya vuguvugu? mie kwa kweli huwa natumia maji ya vuguvugu na zinatoka vizuri tu. Hii nayo itabidi nijaribu nione tofauti yake. Shukran sana kwa kutupa ujuzi dear!
 
Habari zenu wapendwa.

Mimi ndugu yenu niko hapa kuomba ushauri, nifanyaje ili niweze kusukuma chapati itoke ya duara bila pembe nyingi.

Maana nikisukuma nazitoaje zina pembe.

Help me what to do.
 
Habari zenu wapendwa,..
Mimi mwenzenu nko hapa kuomba ushaur, nifanyaje niweze kusukuma chapati itoke ya duara, isiyo na pembe pembe?!
 
Duara lako, au lile donge la unga jaribu kulifanya la duara, lisiwe na kona kona hiyo itakurahisishia wakati wa kusukuma pia
 
asante kwa maelezo mazur ya chapt.je naweza kupika chapat kwenye jiko la gesi na zikaiva vizur bila kubabuka?
 
jaman mm nilifuata maelekezo ya expert jinsi ya kupika chapat za kusukuma zikawa laini vizuriiiii tz asubuh tulivyonywea chai zilikuwa kau kau yani ngumu balahaaa afu zinavunjika so please naomben mniambie nilikosea wap????
 
Like you like me nishawahi jisikia hasira kuendelea kupika hivyo vitu
 
thanks kwa somo..
kitu gani kinafanya chapati kuwa ngumu?
usipokanda vizuri, unga wako sio mzuri na ubaridi ukizidi kwenye unga ukiwa unakanda. Ngano inaumuka kwenye joto bila kutiwa habira hii muhimu sana. unga upewe nafasi ya kuumuka
 



Kwanza, unahitaji viazi, mayai na vitunguu maji.

Pili, weka maji madogo katika bakuli moja kubwa, ondoa ngazi ya viaz na kuzikata ziwe chips, halafu unatakiwa kuviweka katika bakuli lenye maji.

Tatu, tia chumvi, unga wa bizari na unga wa pilipili, korogakoroga

Nne, tia mayai, korogakoroga

Tano, tia unga kwa kijiko tano(ukipenda unaweza tia unga nyingi zaidi, inategemea)

Sita, tia vitunguu maji, korogkoroga mpaka iwe kama uji(vitunguu maji ziwe vipende vidogovidogo)

Tia mafuta madogomadogo katika sufuria, moto iwe ndogo, weka uji kadhaa, baada ya dakika 2, geuza upande endelea kupika baada ya dakika 1, chakula kiko tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…