Kwanza, unahitaji viazi, mayai na vitunguu maji.
Pili, weka maji madogo katika bakuli moja kubwa, ondoa ngazi ya viaz na kuzikata ziwe chips, halafu unatakiwa kuviweka katika bakuli lenye maji.
Tatu, tia chumvi, unga wa bizari na unga wa pilipili, korogakoroga
Nne, tia mayai, korogakoroga
Tano, tia unga kwa kijiko tano(ukipenda unaweza tia unga nyingi zaidi, inategemea)
Sita, tia vitunguu maji, korogkoroga mpaka iwe kama uji(vitunguu maji ziwe vipende vidogovidogo)
Tia mafuta madogomadogo katika sufuria, moto iwe ndogo, weka uji kadhaa, baada ya dakika 2, geuza upande endelea kupika baada ya dakika 1, chakula kiko tayari.