Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Haukusema aina ya unga unaouchanganya, tuambie kama ni unga wa dona, sembe au ngano ili nianze mapishi muda huu
 
Asante sana kwa huu ufundi
 
Ha ha ha ha, mie nikipika zinasimama kama mfuniko wa sefuria

Nikimbambula nazo mtu anapata ngeu


dah! umenifanya nicheke sana halafu kuna neno sijalikisia siku nyingi " ngeu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…