Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Vipi ukiweka sukari kidogo? Napenda ladha ya chumvi na sukari ikichanganywa.
Pia kuna mtu aliniambia sukari inaipa chapati rangi ya gold, ni kweli?
Kongosho you are not alone, ila mimi sijui what went wrong; maana zamani nilikuwa mpika chapati mzuri tu (chezea kuwa housegirl wa dada likizo ya mwinyi), lkn sasa holaa.
 
Last edited by a moderator:
naombeni kujua
Hivi samli ni mafuta ya ng'ombe?na ndio yanatakiwa kuwekwa kwenye chapati?
 
Wakati unakaanga usiaubir chini iwive ndio ugeuze chapati inakua ngumu....subir iwive kidogo tu alafu geuza then weka mafuta kaanga utaona chapati yako yafanya kuumuka na kuja juu hapo ndio inawiva hadi ndani....

BAK Mrs Kharusy amu King'asti na wengine

Upishi wa chapati bwana...kwenye maandishi unaonekana rahiiisiiii....kaa chini ukande sasa...zinaishia kutoka kuwa kama mfuniko wa chungu!
 
Basi jana nimerudi kwenye mood ya mapishi, nikajiandaa nikapika chapati.

Mmh, walau nime improve kutoka mifuniko ya masefuria to something very new. Chapati hazikuwa ngumu wala laini, zilikuwa slippery kama ulimi wa Mlugo. Ukitafuta hivi, meno yanakuwa kama yanafanya 'ice skating', ukiweka mchuzi ndio inakuwa poa.

But zombie alinielekeza wapi nilikosea, nilitumia maji moto badala ya baridi. So leo narudia homework.

cc King'asti na snowhite, mwenzenu naumbuka jamani. Ingekuwa si kuogopa haya ma ID tungekuwa tunakutana once in a while kupika tu, tuna rotate kwa nyumba tofauti tofauti, tunakuja na vifaa vya tunavyotaka kupika, na ma hot pot ya take away.

Tukirudi home ni kuchemsha tu watu wanakula.

Vipi ukiweka sukari kidogo? Napenda ladha ya chumvi na sukari ikichanganywa.
Pia kuna mtu aliniambia sukari inaipa chapati rangi ya gold, ni kweli?
Kongosho you are not alone, ila mimi sijui what went wrong; maana zamani nilikuwa mpika chapati mzuri tu (chezea kuwa housegirl wa dada likizo ya mwinyi), lkn sasa holaa.
 
Last edited by a moderator:
Ndio hayo, ila kama unatumia mengine uweke ya baridi, ukiweka ya moto kama mie, chapati zinadansi mdomoni.

Fuata ushauri wangu at your own risk.

naombeni kujua
Hivi samli ni mafuta ya ng'ombe?na ndio yanatakiwa kuwekwa kwenye chapati?
 
Ndio hayo, ila kama unatumia mengine uweke ya baridi, ukiweka ya moto kama mie, chapati zinadansi mdomoni.

Fuata ushauri wangu at your own risk.

thanks ni kwa sababu huwa sili samli ndio maana nikauliza
Blue Band inaweza kuwa mbadala?
 
Back
Top Bottom