Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
ha haaaa, mi najipikilisha mwenyewe kwa kutumia google, FB group fulani na JF chef. Practice alone.Ha ha ha ha, FP bana.
Utanisahauje? Ila ninatamani kajikundi hata ka watu 3-5 ka kujipikilisha tu kwa ajili ya familia.
Juzi nimemwaga mkate wa kumimina...... nilikosea sikuloweka sana...... this time sikuchemsha uji, uliiva vizuri but tulikuwa tunatafuna kama mchele uliookwa............ nikaona isiwe tabu ya kujaza watu matumboooooo......
zoezi litaendelea kesho. Leo usiku naloweka mchelwa wangu overnight.....