Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Nilikuwa busy sana Leo pole
Ngoja nikuelekeze mpendwa sasahivi
Tuanze na kuchoma mishkaki
Mahitaji(Mimi Huwa sipendi viungo vingi)
Nyama steki,chumvi,kitunguu swaumu,tangawizi,manjano,limao na mafuta kijiko kimoja Cha chakula
Kata nyama Yako weka kwenye bakuli hakikisha Haina maji
Chukua bakuli nyingine weka kitunguu swaumu ulichosaga na tangawiz weka chumvi limao manjano na mafuta koroga Kisha mimina mchanganyiko wako kwenye nyama Changanya Kisha funika Kwa muda kidogo kuanzia Lisaa na kuendelea Kisha weka nyama kwenye vijiti Anza kuchoma mishkaki Hadi itakapoiva
Manjano ndio nini ?
 
Binzari inaitwa kwaajili ya rangi Inakuwa ya njani hiv ila km ukitumia soy sauce Haina haja ya binzari soy sauce zipo madukani,supermarket
Hayo marangi ndio siyapendelei kabisa. Na hivi viungo ni kwa nyama zote au?
 
Back
Top Bottom