Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Yanaongeleka lakini haya anaweza kuwa anazo ila ukakosa furaha ya moyo siwajua kule pesa si kitu , cha muhimu na msingi ni hii 💕
Kwa kweli kwenye kukosa pesa kabisaa hapana 🤣🤣🤣
Lakini kwakuwa ni Mangi mwenzenu sio mbaya nitakuwa shemeji yenu naye wa uko Kaskazini
 
Kwa kweli kwenye kukosa pesa kabisaa hapana 🤣🤣🤣
Lakini kwakuwa ni Mangi mwenzenu sio mbaya nitakuwa shemeji yenu naye wa uko Kaskazini
Ebo sisi tunataka tukupeleke pale kanda ya kati , ila chapati hata za kusukuma si unajua kupika au tutakupa ngozi ya mamba
 
Ebo sisi tunataka tukupeleke pale kanda ya kati , ila chapati hata za kusukuma si unajua kupika au tutakupa ngozi ya mamba
Mangi wewe kumbe wa kanda ya kati? 😜
Nikajua hiyo Mangi nawe wa kaskazini??
Me na watu wapenda fujo hapana kwakweli 😂😂😂
 
Mangi wewe kumbe wa kanda ya kati? 😜
Nikajua hiyo Mangi nawe wa kaskazini??
Me na watu wapenda fujo hapana kwakweli 😂😂😂
Sasa kwani napenda fujo jamani , mshenga si naeleweka au nimezidisha chumvi au sukari imezidi
 
Hayo maini sii unaloweka km nusu saa then unapika km kawaid..... Km roast la maini? Au si hvyo ukhty
Inategemea na namna unavotaka kupika kama nikuloweka maranying unaloweka na maziwa then unapika roast
Kuna ya kupika kawaida unaroast
 
Inategemea na namna unavotaka kupika kama nikuloweka maranying unaloweka na maziwa then unapika roast
Kuna ya kupika kawaida unaroast
Sipendagi harufu ya maziwa kwenye maini huwa naloweka na maji ya limao ndyo napika
 
Back
Top Bottom