Mimi sipendelei Nazi ila hapo kwenye peanut better mamy naweza leta mahali kwenu..tafadhariSio kiiivo nna mieziii sijayapika hapa home
Ila siyachukii
Ktk upishi iwekwe mafuta kiasi,kitunguu,peanut butter nazi na pilipili na chumvi na iachwe ichemke hadi mchuzi uwe ni mziiiitooo kabisaaa
Pika unikaribishe pleaseSiku utakula kwa anayejua kupika utajilaumu why uliyachukia.
Halafu mtu anasema kande hii chakula ni balaa.Acha nionekane mshamba humu jf lakini ukweli napenda makende...
Kuna lile LA kijijini kipindi cha mvuno acha ile wanaita ngukuru...
Ile wanaweka nahidi machanga, maharange machanga, Karanga, na choroko... Halafu kuwe na maziwa mgando achana na haya ya tanga fresh..Yale yawe yakujingandishia..halafu kitu kiwe kimelala...mkuu hautasahau kurudi kijijini
Kesho hiyo napika maana mleta mada amenitamanisha kwa kweli.Pika unikaribishe please
Napata vipi..?Kesho hiyo napika maana mleta mada amenitamanisha kwa kweli.
Kwa njia ya sms nakutumia 😄😄Napata vipi..?
Tatizo ni mindset yake kuwa makande ni kama ya watu maskini yaani ni chakula chaguo LA mwisho baada ya mtu kukosa namna.wakati kande linagharama zaidi hata ya pilau na linatumia gesi au mkaa zaidi hata ya nyama...sasa unyonge wa makand e uko wapi..hali hiyo kitu ni kama kachumbali kila kiungo kinaingia hiyo ni fully dietSiku utakula kwa anayejua kupika utajilaumu why uliyachukia.
Duh..akupe namba ya Whatsapp sasaKwa njia ya sms nakutumia [emoji1][emoji1]
Wakati inataka mda NA umakini kuliko hata hizo chips za wazee wa darHalafu mtu anasema kande hii chakula ni balaa.
Ya nini namzinguaDuh..akupe namba ya Whatsapp sasa
hahaaaaaaa kebich hili hili?
Au ni yale ya kizungu....?
Mzigua90, hembu acha utanii.......
Halaf hata hoho silielewag elewag kbsaa
kwaio we ushwahi kula kebich tamu?
Achana na kulitaftia chakula kizuri ndio lipendezee...
Umeshushiwa hapo kebich na dona utakulaaa......,
hahahaa alooo Hata ubishe HULIIII
Lile dude bora ulile bichi...
Wewe nyoosha maelezo kuwa unakula kande za Mama Lishe zilizopikwa kibiasharaYaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Daah..Ya nini namzingua
Ili umtumie ila tayari umeshasema unamzingua...ila hadi nimekumbuka kwenda shinyanga Kwa mama Yangu maana sio Kwa Yale makande ya kwenye kupikia kuni...duhYa nini namzingua
Kaisha sema yeye anakilia shida wakati mwambie aende YouTube atafuge interview ya Dada wa hapa mwanza anayeuza bakuli 40 za makande na tena wateja wake wakiwa ni wafanyakazi wa benki na wanalipa sh.5000 Kwa parkage... Sijui shida iko wapi hapoWewe nyoosha maelezo kuwa unakula kande za Mama Lishe zilizopikwa kibiashara
Ukute kande zimepikwa na Kweme, kweme Ni kama Jamii ya Nazi fulani hivi Ndio utajua Thamani ya Kande
Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Duh umenikumbusha shule..Nairobi pale kawangware HIDDEN TALENT hiyo chini ya pastor ENOC miaka hiyo nilikuwa naenda Kwa wale jama pale wanapika githeri pamoja na mthogoi aisee ukiweka na parachichi yaani kishule shule hata siwezi sahau aiseeKumbe team makande aka muthokoi aka githeri tupo wengi.
Unakosa utamu wa ndiziNawashangaa watu mnaosifia makande asee. Zingine ni ndizi. Pika ujuavyo sitakula