Mimi ni mmoja wapo nikila kande sishibi huwa napika nyingi Yaani siku hiyo inakuwa ni kula tu.Tatizo ya hiyo kitu wengine tukila huwa hatushibi unakula ukicheza kidogo tu nusu saa njaa inauma tena.
Mimi ni mmoja wapo nikila kande sishibi huwa napika nyingi Yaani siku hiyo inakuwa ni kula tu.
Huu msosi unatakiwa ule night tu ukila unaenda kulala tu maana unaweza onekana unakula sana.Mimi ni mmoja wapo nikila kande sishibi huwa napika nyingi Yaani siku hiyo inakuwa ni kula tu.
Sipendi kwenda kwa mtu nikakuta wamepika huwa naona aibu kupakuwa maana naweza shindilia sahani wakanishangaa 😀😀😀Sijui yana uchawi gani
Halafu ukitie blueband...Hujakutana na makande yalopikwa ni fundi
Halafu ukitie blueband...Hujakutana na makande yalopikwa ni fundi
Halafu ukitie blueband...
Wewe mzaramo na makande wapi na wapi 😄😄Nawashangaa watu mnaosifia makande asee. Zingine ni ndizi. Pika ujuavyo sitakula
Waliokupikia hawajui kupika.Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Mwambie huyoHujakutana na makande yalopikwa ni fundi
[emoji3] [emoji3] , kabeji siyo kabisa, afu linasave cost hiloo nusu yake mnakula siku 2 aisee, nilikua nakasirika home mama sometimes anachanganya na nyama duh, nilikua naona anaharibu mboga nyama, nilikua nadonoa vinyama nyama naishia zanguu[emoji30]kebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....
Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....
Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia...