Jinsi ya kupika makande

Jinsi ya kupika makande

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shida tu, kabichi la jero linapikwa mara 2, halafu linaanikwa lisioze
Ni matatizo hiyo mboga ningumu kweli kualibika inanaji mengi sana 😂
 
Kabichi ukichanganya na nyama ni mboga nzuri sana hasa upate na ugali laini wamoto bila kusahau maziwa mtindi pembeni
Kuna mboga mzee hata ikilala inaliwa hiyo uliosema NYAMA lakini kuna nyingine zikilala tu watu wanazitupa hawataki tena kuzila.
 
Mkuu kupikiwa makande nyumbani tu unaleta uzi je ikija kutokea wazazi kufululiza kubanduana kila siku si ndo utaweka hadharani nyeti zao humu!

Hawa ni wale watoto wanaoweza kuwauza wazazi wao kwa maadui bila kujua kwa kuona tamu ya pipi
 
Nikipitisha wiki sijayapika sielewi elewi yan bora nisile Nyama
Makande si Mchezo upate kande lililoungwa na Nazi 2 halafu limetupiwa karanga mbichi
 
Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.

Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Watani zangu Wapare kwa asili ni Wabahili sana.Makande ni mchanganyiko wa maharage na mahindi amabvyo kibajeti haiwaumizi sana....
 
kebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....

Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....

Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia lipite
Haya maelezo yako ni kama umeniona nikiwa nahaha na ugali kebich...aliyegundua hii mboga mbingu ataisikia tu
 
Nimemaliza kusoma Thread nimecheka mpaka machozi...

Ngoja nipande juu sasa nianze soma comment za wengine...

Asee kweli home yalikua yakipikwa ni mtayala mchana,usiku,asubuhi yake

msipoangalia na mchana yake 🤣 🤣 🤣 🤣

Halafu hako katabia sijui nimeanza kukarith,juzi nimeyapika nikayala mchana usiku asubuhi leo

Mchana nipo kazini,ila nimeacha kwenye Fridge akaunt inasoma "two hotpots" ziko full.🤣🤣 zinansubiri
 
Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii

lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
nimecheka sana asee, ila nini Rey kebich hilo nikikupikia lazima ujilambe.

ni mboga nisiyotaka mtu anipikie sitaki kabsa,nikiwa na hamu nayo naipika mwenyewe.

Back days nyumbani tulileta house girl hiyo siku akaambiwa apike kabich,akasema hajui kupika

kwao kabichi wanakatia ng'ombe so yule dada alikua hali kabisa achlia mbali kukataa kuipika.
 
Kama Umezaliwa Kwenye Family Inayojimudu Mengi Sana Huyajui, Makande Unasema Unakula Kwa Sababu Una Shida.
Kuwa Uyaone Siyo Maghorofa Ila Mchaka Mchaka Wa Maisha.
Kuna Mengi Sana Watu Wengi Sana Wakisema Wasimulie Unaweza Kubaki Mdomo Wazi
Mwambie ipo siku atagundua kuwa ukilamba asali unashba vizuri usingizi unakuja

akifikia stage hiyo lazima atasema kumbe makande ni chakula bora kabisa eeeh
 
Back
Top Bottom