Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Hata mimi nimeshangaa mkuu 😄😄Wewe hebu tuache, kande na samaki wapi na wapi [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimeshangaa mkuu 😄😄Wewe hebu tuache, kande na samaki wapi na wapi [emoji23]
Ni matatizo hiyo mboga ningumu kweli kualibika inanaji mengi sana 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shida tu, kabichi la jero linapikwa mara 2, halafu linaanikwa lisioze
Kuna mboga mzee hata ikilala inaliwa hiyo uliosema NYAMA lakini kuna nyingine zikilala tu watu wanazitupa hawataki tena kuzila.Kabichi ukichanganya na nyama ni mboga nzuri sana hasa upate na ugali laini wamoto bila kusahau maziwa mtindi pembeni
Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Haahah siuhame hapo kwenu aiseKaka haya ratiba yake hapa nyumbani ni jtatu...yaani ndo wanaifanya jtatu inakua black Monday
Hiyo ngoma tunaamka nayo kesho Tena...duh
Bado hijapikiwaNawashangaa watu mnaosifia makande asee. Zingine ni ndizi. Pika ujuavyo sitakula
Watani zangu Wapare kwa asili ni Wabahili sana.Makande ni mchanganyiko wa maharage na mahindi amabvyo kibajeti haiwaumizi sana....Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Haya maelezo yako ni kama umeniona nikiwa nahaha na ugali kebich...aliyegundua hii mboga mbingu ataisikia tukebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....
Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....
Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia lipite
nimecheka sana asee, ila nini Rey kebich hilo nikikupikia lazima ujilambe.Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Mwambie ipo siku atagundua kuwa ukilamba asali unashba vizuri usingizi unakujaKama Umezaliwa Kwenye Family Inayojimudu Mengi Sana Huyajui, Makande Unasema Unakula Kwa Sababu Una Shida.
Kuwa Uyaone Siyo Maghorofa Ila Mchaka Mchaka Wa Maisha.
Kuna Mengi Sana Watu Wengi Sana Wakisema Wasimulie Unaweza Kubaki Mdomo Wazi
Nimecheka kwa sautiii
Mkuu mimi kande ipikwe vyovyote napeleka.