Jinsi ya kupika makande

Jinsi ya kupika makande

Hujapata yaliyopikwa yakapikika Mkuu. Kila siku utatamani ule.

Mi yanachonikera ni kupata njaa muda mfupi baada ya kujiona nimeshiba mbaya.
Hivi kw nn ukila hushibi makande bila blue band na sukari aisee nipe chai na maharage nilale.
 
hahaaaaaaa kebich hili hili?
Au ni yale ya kizungu....?
Mzigua90, hembu acha utanii.......

Halaf hata hoho silielewag elewag kbsaa

kwaio we ushwahi kula kebich tamu?
Achana na kulitaftia chakula kizuri ndio lipendezee...

Umeshushiwa hapo kebich na dona utakulaaa......,
hahahaa alooo Hata ubishe HULIIII
Lile dude bora ulile bichi...
nikifumaniaga comment zako napasuka sana kwa kucheka we kiumbe.
 
Makande ya shule yalikuwa matamu sana, japo yalikuwa yanapikwa hovyo, sasa sijui njaa Ilikuwa inafanya nione matamu
 
Mkuu kupikiwa makande nyumbani tu unaleta uzi je ikija kutokea wazazi kufululiza kubanduana kila siku si ndo utaweka hadharani nyeti zao humu!

Hawa ni wale watoto wanaoweza kuwauza wazazi wao kwa maadui bila kujua kwa kuona tamu ya pipi
Mkuu ntake radhi...nawaheshimu wazazi wangu,lakini naheshimu wazazi wote,zaidi watu wote...wakati mwingine kukaa kimya ni busara pia
 
kebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....

Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....

Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia lipite
Bora Mara mia kebichi kuliko Maharage. Mbaya zaidi uyale kwa ugali wa mtama kwa lugha rahisi tunaita suti Yaani ni tatizo kuanzia mezani mpaka maliwatoni! 🙄
 
Back
Top Bottom