Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataolewa na wakinga nyie wamatumbi wa Jf wasumbufu 🤣🤣🤣[emoji3][emoji3][emoji3]..... wewe hutak tuitwe ankolii
Mimi mchaga bhn.... Wa jf[emoji3][emoji3]Ataolewa na wakinga nyie wamatumbi wa Jf wasumbufu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umesema vyema mkuuMwanamk ajue kupika na kazi ya wakubwa.... Mengn tutasaidiana[emoji3]
Hawafui, unafuaje na mikucha ile.HV kufua nguo na vyupi zao huwa wanazifua kweli
Hapana watu wa wawili tofautiHv malkia na food lovers ni mtu mmja maake sauti zao km zinafanana?
Siri yetu hii asije gawa kigazeti.😀😀Hebu mpe hiyo habari atakuwa hajui
Haha hamna namna.Sawasawa, mi pia sijatembelea muda. Kikubwa tuendelee kula.
😋😋😋😋 Ukifungua Hotel hapa JF utapata Wateja wengi sana One of them nitakuwa mie 😂😂😂Natumain wazima na weekend inaenda vizuri
Niwaletee recipe ya kupika makange ya samaki
Mahitaji
Samaki aliekaangwa
Kitunguu maji na kitunguu swaumu
nyanya za.kawaida(saga) na nyanya ya pakti,chumvi
Pilpilili hoho na karot ( kata shape upendayo )
Pilipili manga kama utapendelea
Nazi Kama unapendelea pia sio lazima
Mafuta ya kupikia
Jinsi ya kupika
Bandika sufuriq au pan jikoni weka mafuta ya kupikia kias kidogo
Anza kukaangaa kitunguu maji hadi kilainike kisha weka kitunguu swaumu kaanga kidogo
Weka nyanya zikichemka weka pilipili manga acha nyanya ziive kisha ongeza nyanya ya pakti
weka pilipili hoho pamoja na karot acha zilainike zisiive sana ongezea Nazi kidogo changanya na uache Kwa dakika 2 Kisha muweke samaki kwenye pan Changanya na viungo Kisha mgeuze acha dakika 2 makange yatakua tayari
Unaweza kula na wali ugali ndiz hata chips View attachment 2796485
Niko guuud like always 😉Niko gud sana rafikiyangu mambo vip