Jinsi ya kupika makange ya samaki bila kutumia viungo vingi

Jinsi ya kupika makange ya samaki bila kutumia viungo vingi

Kwa style hii ndio uniambie nikonde sijui nibalance diet, siwezi kukuelewa. Pishi kama hili siezi kuacha kula hasirani, wanipeleke mloganzila nikawekewe puto tu.
Mloganzila ukienda hurudi, puto uwekewe la Nini sheikh ?
 
Huwez kuwa efficient kama mm mweny kucha fupi, utakataje nyanya na kucha marefu kama sio utahangaika tuu nyanya moja unakata dakika kumi.

Mi mweny napika ghetto, hao makucha marefu wakijaga wanaanza kujishaua "ooh niache nikupikie", sawa mama pika, bac bhana utacheka yupo slow kinoma makucha yanamsumbua hadi nikamwambia ebu kakae huko niache nipike mwenyew.
HV kufua nguo na vyupi zao huwa wanazifua kweli
 
mabinti jifunzeni kupika makachakacha huvunja ndoa (mahusiano) hamjui tuh
 
Viungo vingi sio utamu wa chakula bestie....ni vile tu unavyojua kuvitumia....ht Mie bado najifunza napenda insta page ya malkia food na food lovers Wana recipe simple na nzuri
Hv malkia na food lovers ni mtu mmja maake sauti zao km zinafanana?
 
Back
Top Bottom