Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juhudi zako ndio mafanikio yakoπ₯Sawa ila nasubiri lile jambo lingine nitimiziwe.π
Atakufundisha Zulu ManπMs eyes nifundishe nyola basi
[emoji39][emoji39]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Limeisha hilo jambo.Juhudi zako ndio mafanikio yakoπ₯
Hutaki kuwa mpishi wa harusi ya wana jf?Hahha jambo gani tena
Viungo vingi sio utamu wa chakula bestie....ni vile tu unavyojua kuvitumia....ht Mie bado najifunza napenda insta page ya malkia food na food lovers Wana recipe simple na nzuriπMimi Bado najifunza kuna vitu vingi sijajaribu kupika hata matumiz ya viungo vingi Bado mwananfunzi
Zulu Man simuamini na pia sitamuelewa kama weweAtakufundisha Zulu Man[emoji18]
Kijana,una agenda gani na shemeji yako?π€£Zulu Man simuamini na pia sitamuelewa kama wewe
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mimi ndo nashindaga kwenye page zao ππViungo vingi sio utamu wa chakula bestie....ni vile tu unavyojua kuvitumia....ht Mie bado najifunza napenda insta page ya malkia food na food lovers Wana recipe simple na nzuri
Na dida shebs πMimi ndo nashindaga kwenye page zao ππ
Kuna yule fooddiary ni noma
Nijue kinyola mengine ni ziada tu mkuuKijana,una agenda gani na shemeji yako?[emoji1787]
Na uwe na muda wa kupika weee diet tupa kuleUkiwafatilia unakuwa kibonge π