Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesssss ila mara moja sana na mpishi mzuri tu .So huwa unapika?
Sawa, ngoja nitulie maana sitopenda uzi ukianza kuwa na mabattle 😅Hahah, usitake kuharibu uzi wa watu mpwa, hawachelewi kukuvamia na silaha kali hapa.
😅 😅 😅 😅Halafu ukizama huko unakutana na lichupi limetoboka unabaki kushangaa
Napenda watu wanaopika sana aisee🤣🤣🤣Yesssss ila mara moja sana na mpishi mzuri tu .
Ningekuwa somewhere muda huu narudi ningesukuma dona la nguvu 🤣 ila tatizo sasa kulipata huku.
Ni kweli Kuna namna nying ya kupika chakula kizuri😍Asante bestieee naona leo unapika mapemaaaa hutaki shemeji achelewe
Mwenzio sipendagi nyanya kabisaaa naitumia Mara chache hapo ningeweka carot, soya sauce na corn starch na hivyo viungo vingine ningetoa kituuu
haha kwani mloganzila amejengewa mbuzi na kondoo?Hatuogopi vitambi au sio?🙌😂
Karibu nikupikie vitamu.Napenda watu wanaopika sana aisee🤣🤣🤣
Dah wali samaki alafu awe samaki mkubwa hichi chakula kitanitoa roho mimi.Natumain wazima na weekend inaenda vizuri
Niwaletee recipe ya kupika makange ya samaki
Mahitaji
Samaki aliekaangwa
Kitunguu maji na kitunguu swaumu
nyanya za.kawaida(saga) na nyanya ya pakti,chumvi
Pilpilili hoho na karot ( kata shape upendayo )
Pilipili manga kama utapendelea
Nazi Kama unapendelea pia sio lazima
Mafuta ya kupikia
Jinsi ya kupika
Bandika sufuriq au pan jikoni weka mafuta ya kupikia kias kidogo
Anza kukaangaa kitunguu maji hadi kilainike kisha weka kitunguu swaumu kaanga kidogo
Weka nyanya zikichemka weka pilipili manga acha nyanya ziive kisha ongeza nyanya ya pakti
weka pilipili hoho pamoja na karot acha zilainike zisiive sana ongezea Nazi kidogo changanya na uache Kwa dakika 2 Kisha muweke samaki kwenye pan Changanya na viungo Kisha mgeuze acha dakika 2 makange yatakua tayari
Unaweza kula na wali ugali ndiz hata chips View attachment 2796485
hawapendi kuambiwa ukweli tatizo, watakuja na silahaza kila aina wahedi.Sawa, ngoja nitulie maana sitopenda uzi ukianza kuwa na mabattle 😅
Ila Mimi napenda nyama aisee🤣Karibu nikupikie vitamu.
Huwez kuwa efficient kama mm mweny kucha fupi, utakataje nyanya na kucha marefu kama sio utahangaika tuu nyanya moja unakata dakika kumi.Kucha ni urembo bhana hazimzuii mtu kupika😀
Bonge la idea ni mwendo wa kugombana na masufuria tu cha umuhimu ili darasa la mapishi usiache watajuta mbona 😅Shukrani sana nawe ujaribu Ili uzid kuwa kataa ndoa 😂😂😂
Hahaha napika aina tofauti za nyamaIla Mimi napenda nyama aisee🤣
Basi mimi ni meat mate😍🥂Hahaha napika aina tofauti za nyama
I love jambalaya😋 japo sijawahi kupika nilidowea kwa party ya watu
Tuna hoja tusikilizwe, wewe huoni nyuzi zao yakishawakuta kwenye ndoa wanakuja kukiri bora kataa ndoa 🤣🤣🤣😂😂😂Kijana wa ovyo