Jinsi ya kupika makange ya samaki bila kutumia viungo vingi

Yesssss ila mara moja sana na mpishi mzuri tu .
Ningekuwa somewhere muda huu narudi ningesukuma dona la nguvu 🤣 ila tatizo sasa kulipata huku.
Napenda watu wanaopika sana aisee🤣🤣🤣
 
Asante bestieee naona leo unapika mapemaaaa hutaki shemeji achelewe

Mwenzio sipendagi nyanya kabisaaa naitumia Mara chache hapo ningeweka carot, soya sauce na corn starch na hivyo viungo vingine ningetoa kituuu
Ni kweli Kuna namna nying ya kupika chakula kizuri😍
 
Dah wali samaki alafu awe samaki mkubwa hichi chakula kitanitoa roho mimi.
 
Kucha ni urembo bhana hazimzuii mtu kupika😀
Huwez kuwa efficient kama mm mweny kucha fupi, utakataje nyanya na kucha marefu kama sio utahangaika tuu nyanya moja unakata dakika kumi.

Mi mweny napika ghetto, hao makucha marefu wakijaga wanaanza kujishaua "ooh niache nikupikie", sawa mama pika, bac bhana utacheka yupo slow kinoma makucha yanamsumbua hadi nikamwambia ebu kakae huko niache nipike mwenyew.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…