Jinsi ya kupika tambi


Saa-heeb nimependa mapishi ya tambi lol....
 

Nimependa hio ya pili inavutiaje!!...hizo ni rangi ama nn?.. tujifunze mambo ya kupamba sahani🙂
 
nimependa hio ya pili inavutiaje!!...hizo ni rangi ama nn?.. tujifunze mambo ya kupamba sahani🙂
Ahlen Wasah-Len Ukhtii... Ma3alesh!! nsijekukuunguzia Tambi zako,! halafu ulaze familyia bila mloo! mie sii profeshno.... kama Farkhy !! Mie huCopy na kuchafua jikoo!!
Okay.., 1.
hii waunga na jelly au choco-cups

hii waunga na pastry & condens milk


hii waunga na ka3aka
hii waunga na nuts(almond,snubar)
hii waunga na Zabibu,Eggs,asali

kazi iko kwako dadngu chafua jikoo this weekend.
good luck.
 
life is Short hapa hata km chakula hakina ladha mate lazima umeze.... 🙂
 
Last edited by a moderator:

Unaweza pia ukaweka naz badala ya maziwa
 
Nimependa sana mapishi ya tambi.
vipi nikila kwa nyama ya kusaga?
 
Aww jmn this is niceee...naipika kesho hii...
 
Nimeipenda hii
 
naomba msaada wa jinsi ya kupika tambi in a simple way

Weka maji jikoni yakisha chemka Tia tambi zako ziache zichemke walau .dk 5, ipua China maji weka mezani endelea kula hapo mboga yoyote ....
 
weka maji jikoni yakisha chemka Tia tambi zako ziache zichemke walau .dk 5, ipua China maji weka mezani endelea kula hapo mboga yoyote ....

Hamna kuweka sukari wala hiliki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…