Jinsi ya kupika UGALI Fasta Fasta (Full Steps)


haki ya nani umenifurahisha sana, yani we umepika kiuhalisia sio wale wanao google vyakula ambavyo hawajawahi

hata kusikia halufu yake wanatuletea hapa, mi hiyo sahanim kwanza nimechoka yani unakula ugali + kutu, halafu kwa

mbali naona kabisa ugali mbichi kabisa huo. ila hongera you made ma day.
 
Soon nitakuja kukutembelea michicha yako siitaki kabisaa.Kitu cha kwanza andaa visheti vyakuwa natafuna mda wote😀

Hahhahaha karibu...vya kiomani au vya kipemba??....au vikokoto vile hadi ukimaliza kutafuna meno yanaomba pooo..lols
 

mkuu mwanaume ntapewaje talaka si uboya huo?

LIKE Niku ADD
 
Last edited by a moderator:

karibu mkuu

LIKE Niku ADD
 
Last edited by a moderator:
Mie niliambiwa unakata size ya tonge lako na kuuweka mkononi huku umekunja ngumi kwa nguvu. Ukiweza kuhesabu 1 mpaka 10 bila kuungua na hivyo kuifungua ngumi yako basi ni mbichi na kama umeiva hufikishi 10. Zoezi lifanywe mara tu baada ya kuusonga.

Vile vile ugali ulioiva haushiki mikononi unapofinyanga tonge, ukiona mikono inachafuka ukifinyanga jua mbichi.
 
yani mimi naona kupika ugali ni kazi kuliko ubwabwa asee maana unatumia kama uzoefu flani ivi,hzi tutorial zinatufaa
 
Hahahaha ule ugari wa juzi nlifanya ujanja huo mana me ugari upishi wake nababaisha tu sinaga ujuzi
haku akitu rahisi kama ugali,mi wali ndio nabahatisha ,njoo nikufundishe
 
haku akitu rahisi kama ugali,mi wali ndio nabahatisha ,njoo nikufundishe

Hahahaha BAK alishauri nifanye mazoezi nshaweza thanks iyo nafasi ya mafunzo mpatie mwengine lol
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Nyote nyie mnauzungumzia ugali wa sembe peke yake sijui nasisi waswahili wa kula ugali wa muhogo tutanufaika vipi na huu ufundi wa kupika au unaweza kupika namna jinsi unavyopika sembe?Nisaidieni mimi mahali nilipo unga wa muhogo iunapatikana na tayari ninao lakini nimebakia kuutizama tuu kuupika siwezi ,mimi nimezowea ugali wa bada ule mweusi kwa dagaa wa mawese au kisamvu na samaki naomba nielekezwe namna nitakavyoweza kuupika kirahisi,nitashukuru sana. Msherwampamba.
 
Hahahaha BAK alishauri nifanye mazoezi nshaweza thanks iyo nafasi ya mafunzo mpatie mwengine lol

Jaan karibu nimejifunza leo....lol... nakutania km kawa ugali nipikiwe
Nimeula ki kussum style leo...
 

Attachments

  • 1425567821917.jpg
    72.2 KB · Views: 165
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…