Jinsi ya kupika wali wa mbogamboga(wali wa maua) wa Nazi

Lamomy na cocastic acheni kuwachsmba wanaume mje kula[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziiiii,
Niliwahi jaribuu kupikaa hiki chakulaa, sijui nilikoseaa wapii.
Hivyo viungo havikuiva vizuri, vilikua vinaguruchukaa.

Hadi mlaji mwingne, akaishia kunambia "unachowezaa wee ni umbea na kusogoa, kupika hujui"

Nlipatwa na hasira, nlimwagia chakula mwilini, kilichofuata ni ITV.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kupikaa mie, nisamehewe kwa kweli. Lol.

Shangazii chakulaa hiko kiko [emoji39][emoji39][emoji39].
 
Huu wali Hua unanivutia tu Kwa macho Lakin nkila siufurahii kabisa sisikii utamu wa wali Naonaga hayo makorokoro yanaharibu ladha ya wali imagine wali Huo Wa maua ule Na maharage au ule wali plain ule Na maharage ...
 
Huu wali Hua unanivutia tu Kwa macho Lakin nkila siufurahii kabisa sisikii utamu wa wali Naonaga hayo makorokoro yanaharibu ladha ya wali imagine wali Huo Wa maua ule Na maharage au ule wali plain ule Na maharage ...
Mm napenda pia Huwa siweki viungo vingi pia
 
Unapika kwa kuangalia tutorial are we serious sis , ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ™Œ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ™Œ ๐Ÿ˜‚
 
Wewe nitakutafutia Mwalimu awe na fimbo utaelewa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wanaume tunaruhusiwa kujifunza mapishi.

Siku waifu anaumwa unaingia Jikoni kumwandalia mlo

Ama unafanya mapishi biashara Kwa kuanzisha mgahawa kama Fred Urio (Mzee wa Mahanjumati wa ITV)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ