cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Em kwendraaaa huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapika kwa kuangalia tutorial are we serious sis , [emoji23] [emoji119] [emoji23] [emoji119] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Em kwendraaaa huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapika kwa kuangalia tutorial are we serious sis , [emoji23] [emoji119] [emoji23] [emoji119] [emoji23]
Kabisaaa shangaziiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe nitakutafutia Mwalimu awe na fimbo utaelewa [emoji23][emoji23]
Kwani nimekuambia wewe🙄😂😂Nimecheka dadeq! Sasa si mpaka niwe tayar na yy awe tayari ndo ntaanza kula vizuri!
Dada sio msukuma wewe😃😃(,jokes)Huu wali Hua unanivutia tu Kwa macho Lakin nkila siufurahii kabisa sisikii utamu wa wali Naonaga hayo makorokoro yanaharibu ladha ya wali imagine wali Huo Wa maua ule Na maharage au ule wali plain ule Na maharage ...
Doh! Hivi kumbe nlikukwoti ww! Sorry aiseee nkionaga jina la mtoa mada nachanganyikiwa Kuna plagi inakua haichomiKwani nimekuambia wewe🙄
Mimi siwez kukufundisha aisee nilikuwa nafundisha mtu kupika chapat nilivoona anakosea kusukuma na kuchoma nikamfukuza 😃😃nikapika alafu nikampa akale Sasa sijui nilifundisha nn😂😂😂Kabisaaa shangaziiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie shangaziii tutagombanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi siwez kukufundisha aisee nilikuwa nafundisha mtu kupika chapat nilivoona anakosea kusukumwa na kuchoma nikamfukuza [emoji2][emoji2]nikapika alafu nikampa akale Sasa sijui nilifundisha nn[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshusha pumzi wakati natafakari niandike nini!!!!!Kwann upike na Mimi nipo😃😃
Mambo ndio haya sasa😋Kwann upike na Mimi nipo😃😃
Wifi unaye sasa upunguze ratio ya kula usije niaibishaMambo ndio haya sasa😋
Kupangiwa kula sitakiiiWifi unaye sasa upunguze ratio ya kula usije niaibisha
Nikija kula nataka ndizi utumbo😋 na juice ya embeNyie mna vituko 😂😂
Kufika 80 bado 15 juzi nimepima, ukitaka niongezeke hakikisha tuwe sasa kama mi ntakua na 70 bas ww 69-71Si ulisema unakilo 40 natak zifike 80😂