Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

brela iongeze staff ikiwezekana kama kweli inavutia wawekezajii .INAWEZEKANAJE UNATUMA MAOMBI KUFUNGUA KAMPUNI YANACHUKUA ZAIDI YA 24 WORKING HOURS KUJIBIWA? YAKIJIBIWA UNASAHIHISHWA ,UKITUMA UNAPEWA KOSA LINGINE AMBALO HAWAKUSEMA MWANZO .
Hili limenikuta toka wiki iliyoisha nilikuwa nafile annual return imenichukua zaidi ya wiki kupata approval marekebisho lukuki unaambiwa rekebisha hiki una-upload baada ya siku 3 unaambiwa tena fanya marekebisho mengine
 
Habari gani ya kuandikA
1.muhtasari wa wazo la biashara.
2.wazo la biashara.
3.utafiti wa masoko.
4.mchanganuo wa biashara.
5.mkakati wa bidhaa.
6.mkakati wa soko.
7.uongozi wa biashara.
8.mkakati wa usimamizi na uendeshaji wa biashara.
9.taratibu za kuendesha biashara.
10.kianzio cha biashara.
11.mpango wa kifedha.
12.makadirio ya mapato no matumizi.
13.mpango kazi
 
Hili limenikuta toka wiki iliyoisha nilikuwa nafile annual return imenichukua zaidi ya wiki kupata approval marekebisho lukuki unaambiwa rekebisha hiki una-upload baada ya siku 3 unaambiwa tena fanya marekebisho mengine
Hapo kuna uhuni mwingi ila ndo utafutaji.
 
Mfumo upi ni hora zaidi Wa kuendesha biashara kati ya mmiliki mmoja, kampuni na ubia?
Kila mfumo una manufaa yake na mapungufu yake . Tukisema tuende moja kwa moja hatutomaliza mkuu. Swali muhimu kwako mkuu ni kwa biashara gani? tukijua biashara tunajua mfumo upi ni sahihi kwako asante
 
Nafaka mkuu
asante mkuu. kwa mawazo yangu binafsi , cha kwanza ningejiuliza maswali haya . moja, je nina fanya biashara ya nafaka nje ya nchi au la. kama ni ndani ya nchi , binafsi ningependelea biashara binafsi au ya ubia( Hapa inategemrana na arrangement zako kama ww ni mmiliki pekee au utakuwa na mtu zaid ya mmoja). lakini kama ninaenda kufanya biashara ya nafaka nje ya nchi kampuni ni bora zaidi, sababu itaongeza uaminifu kwa wateja wako, wigo wa kuexpand nimkubwa sana kupitia kampuni sababu activities za kampuni ni limitless as long as uliziandika kwenye MEMART.
 
asante mkuu. kwa mawazo yangu binafsi , cha kwanza ningejiuliza maswali haya . moja, je nina fanya biashara ya nafaka nje ya nchi au la. kama ni ndani ya nchi , binafsi ningependelea biashara binafsi au ya ubia( Hapa inategemrana na arrangement zako kama ww ni mmiliki pekee au utakuwa na mtu zaid ya mmoja). lakini kama ninaenda kufanya biashara ya nafaka nje ya nchi kampuni ni bora zaidi, sababu itaongeza uaminifu kwa wateja wako, wigo wa kuexpand nimkubwa sana kupitia kampuni sababu activities za kampuni ni limitless as long as uliziandika kwenye MEMART.
Ooh sawasawa mkuu, kwa hiyo inategemeana na scope of operation. Shukrani sana mkuu
 
Kila aina ya umiliki una faida na hasara zake ingawa kwenye mmiliki mmoja (sole proprietor) kuna changamoto za ukuaji kwamba kuna kiwango kinafika hutaweza kufanya kiwango flani cha biashara
So ni best kuanza na private company?
 
IMG_0615.jpg

Tupigie 0676030410 au fika ofisini kwetu Ubungo-Dar es salaam
 
Ufafanuzi zaidi tafadhali mkuu, umakini upi hasa?
Kwamba anaekuandalia MEMART ya kampuni yako asije kuweka shares nyingi zenye thamani kubwa pasipo kuwa na sababu yoyote ya msingi hivyo kupaswa kulipia pesa nyingi tofauti na kuweka thamani ya shares kiwango kidogo na idadi yake ikiwa kiasi tu.
 
Kwamba anaekuandalia MEMART ya kampuni yako asije kuweka shares nyingi zenye thamani kubwa pasipo kuwa na sababu yoyote ya msingi hivyo kupaswa kulipia pesa nyingi tofauti na kuweka thamani ya shares kiwango kidogo na idadi yake ikiwa kiasi tu.
Ni bank zipi nzuri kwaajili ya kufungulia kampuni tukiachana na crdbna nmb tukiangalia na upande wa stability.

Mfano;

Equity
Kcb
Access
Akiba
Azania
 
Kwamba anaekuandalia MEMART ya kampuni yako asije kuweka shares nyingi zenye thamani kubwa pasipo kuwa na sababu yoyote ya msingi hivyo kupaswa kulipia pesa nyingi tofauti na kuweka thamani ya shares kiwango kidogo na idadi yake ikiwa kiasi tu.
Mfano wa thamani wa shares 1800
 
Back
Top Bottom