Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Unaweka pesa kwenye account yako then unakwenda kwenye gemu yenyewe inaitwa aviator unaweka kiwango chochote unacho taka hapo jinsi kindege kinavyo kas hewani ndio pesa zako zinaongezeka. View attachment 2485208
Kwa mfano hapo kama ungekuwa umeweka elfu 10 ukiwahi kutoa kabla hakijafyatuka unapata 10,000X26.53= 265,300.
Kuna mda kinawahi kufyatuka kama unavyo ona hapo kwenye chati[emoji116]
View attachment 2485215
Kuwahi kutoa ndo unafanya vp mkuu? Na jinsi kinavyohesabu ndo pesa uongezeka et?
 
Mkuu hii kitu kama nataka niwe na cancel kila ikifika odd ya 1.50 mi sitaki iendelee huko si nitakuwa nakula kila nikiweka?
Unaweka pesa kwenye account yako then unakwenda kwenye gemu yenyewe inaitwa aviator unaweka kiwango chochote unacho taka hapo jinsi kindege kinavyo kas hewani ndio pesa zako zinaongezeka. View attachment 2485208
Kwa mfano hapo kama ungekuwa umeweka elfu 10 ukiwahi kutoa kabla hakijafyatuka unapata 10,000X26.53= 265,300.
Kuna mda kinawahi kufyatuka kama unavyo ona hapo kwenye chati[emoji116]
View attachment 2485215
 
Hamna shida mkuu.... Ninaswali la mwisho hapa kwenye mahitaji nina elfu 8 za chenchi 100,200 na 500 nyingi.... Na kwenye maelekezo nimeona kama zinatakiwa sarafu za 12000 je hii haina shida?
Hamna shida
 
Refer kwenye hiyo picha unless alyeituma aseme kaitoa wapi maana hata mimi nimeshangaa. Nacheza sana aviator na sijawahi kuona huu muujiza. Ndiyo maana nimemuuliza ni lini
Kiwango chako kikubwa cha kushinda ni kias gani tangu ulipoanza kucheza
 
Mkuu Rakims jana nilifanya spell Kwa elf 8 za chenchi nikalala...

Nikachelewa kuamka niliamka saa 9:25 nikacheza mara 6 nililiwa mwisho nikapigwa 6000 nikarudisha mtaji nikaona nimechelewa mda ulionielekeza nikalala.

Kwenye saa 10 usiku nimeota kuna mtu tulisoma nae secondary amekuja kuniona, na sister akawa anamuelekeza naenda hospital nitaenda nachechemea mgumu...

Muda huo nilikuwa nacheza ila sikumbuki mchezo gani nakumbuka ni kampuni ya play master na upande ni games za slot kama matunda (sina uhakika)

Muda huo huyo mtu akiwepo nikashinda laki 3 alafu nikaweka tena mkeka wa laki 3 nikashinda laki 929 nikawa najitoa Kwa namba yangu hii.

nnachokumbuka kingine account Yang ilikuwa na jina la mchezaji mpira wa real Madrid (Benzema) na huyo mtu alisoma jina hilo kwenye account

je ndoto hii inaweza kuwa ni uoneshi?

maana nimevuta sana kumbukumbu nilipoamka ila nnachokumbuka ni kulikuwa na rangi nyeusi hivi na kila mru nliweka niliwin
 
huyo mtu nilimwmabia ngoja nitoe hela akasema nimruhusu acheze mara 1 Nikamwambia naogopa kuliwa na akasema Mimi si nilitaka bet game ya mpira ya inter na nyingine ya juventus je ningepata hiyo laki 9.

Huyo mtu jina lake linaanzia na B na sijaonana nae toka 2013
 
hiyo last win niliweka 400 nikala 6000 Ila baada ya hapo nikaamza kuliwa kiasi Hadi 5000 ikabaki
IMG_20230118_072649.jpg
 
Mkuu hii kitu kama nataka niwe na cancel kila ikifika odd ya 1.50 mi sitaki iendelee huko si nitakuwa nakula kila nikiweka?
Unaweza kushinda mara nyingi lakini pia unaweza kupoteza mara nyingi. Kuna wakati inagoma kupamdisha odds, zinachezea 1.0, 1.01, au vyovyote lakini haifiki 1.5. Ikute umeiset auto bet na auto cashout, utajuta
 
Mkuu Rakims jana nilifanya spell Kwa elf 8 za chenchi nikalala...

Nikachelewa kuamka niliamka saa 9:25 nikacheza mara 6 nililiwa mwisho nikapigwa 6000 nikarudisha mtaji nikaona nimechelewa mda ulionielekeza nikalala.

Kwenye saa 10 usiku nimeota kuna mtu tulisoma nae secondary amekuja kuniona, na sister akawa anamuelekeza naenda hospital nitaenda nachechemea mgumu...

Muda huo nilikuwa nacheza ila sikumbuki mchezo gani nakumbuka ni kampuni ya play master na upande ni games za slot kama matunda (sina uhakika)

Muda huo huyo mtu akiwepo nikashinda laki 3 alafu nikaweka tena mkeka wa laki 3 nikashinda laki 929 nikawa najitoa Kwa namba yangu hii.

nnachokumbuka kingine account Yang ilikuwa na jina la mchezaji mpira wa real Madrid (Benzema) na huyo mtu alisoma jina hilo kwenye account

je ndoto hii inaweza kuwa ni uoneshi?

maana nimevuta sana kumbukumbu nilipoamka ila nnachokumbuka ni kulikuwa na rangi nyeusi hivi na kila mru nliweka niliwin
Ndio tafuta siku ambayo mkeka wako utaunganisha na timu ya real madrid na vile vile list ya time zingine weka ambao wana historia ya kuvaa jersey nyeusi au jersey za dark ndio wawe washindi halafu hakikisha hiyo laki 3 unayoweka uwe umeshinda kutoka kwenye mchezo wa matunda kwa bet ya elfu 2 kisha baada ya hapo weka ushindi wako kwenye mkeka. Utaniletea pesa ya soda ofisini.

Rakims
 
Ndio tafuta siku ambayo mkeka wako utaunganisha na timu ya real madrid na vile vile list ya time zingine weka ambao wana historia ya kuvaa jersey nyeusi au jersey za dark ndio wawe washindi halafu hakikisha hiyo laki 3 unayoweka uwe umeshinda kutoka kwenye mchezo wa matunda kwa bet ya elfu 2 kisha baada ya hapo weka ushindi wako kwenye mkeka. Utaniletea pesa ya soda ofisini.

Rakims
Asante mkuu... Ngoja nifanyie kazi hili suala. Asante sana mkuu.
 
Back
Top Bottom