Jinsi ya kushiriki kuhudhuria mkutano (hotuba) ya kiongozi wa Serikali

Jinsi ya kushiriki kuhudhuria mkutano (hotuba) ya kiongozi wa Serikali

Background Check

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2019
Posts
341
Reaction score
498
Wanajamii Forum
________________
Ninaomba kama kuna mtu anaweza akawa na idea kuhusu namna ya kushiriki kikao, mkutano ama shughuli yoyote ya kiongozi wa kitaifa Mfano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nk...

Mfano kuna taarifa kuwa hivi karibuni Rais wetu wa JMT ataongea na vijana wa mwanza kwa niaba ya vijana wa Tanzania, sasa huwa sifahamu namna ya kujisajili ili kushiriki. Au huwa kuna utaratibu gani unatumika kuwachagua washiriki?.​
 
Viongozi wa maeneo unakoishi ndio wanaandikisha, kwa mikutano maalumu ila ya viwanjani ni free
 
Pambana mdogo wangu

Ila kuna kujuana kwingi

Ngumu kupenya bila connection
 
Umeelewa
54115.jpg
 
Back
Top Bottom