Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara mara nyingi, mara marachache tushike lipi?Mara nyingi nikiwa barabarani....nikiona mtu anakimbia kama kuwahi daladala ama lolote,nikimkazia macho sana kama sio kujikwaa basi atajigonga au kuparamia vitu na kuanguka......ila ni mara chache
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
lakini hakuna maali inapoelezaNimeku link
Tafuta mtu akusogezee, hapo unakuwa hujashika wewe
Siyo mauzauza, jini atakaa ndani yako, wewe unaongea peke yako tu. Mfano kabati hili liende chumba hikiSasa sijakuelewa kwamba nikiwa nataka kitu kije kitakuja au ndio mauza uza? [emoji23][emoji23][emoji23] vitu vije bila mpango?
Huyo jini ni wakike tuanzie hapo?
Ndio mwanzo wa kutafuta matatizo yasio na mwisho hapaSiyo mauzauza, jini atakaa ndani yako, wewe unaongea peke yako tu. Mfano kabati hili liende chumba hiki
na likae hapa! Hilo jambo linafanyika. Jini halina jinsia hili.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Yupo Jinn mkuu anayewasidia sana watu juu ya maswala haya.Telekinesis
holy holm tafadhali Sana, naona unataka kuniingilia kwenye dili langu, acha nimalizane nae kwanza au unasemaje?una li fifti hapo mkuu nikufundishe
Mbona mmekazania majini vijana naugomvi nayo hayo hakuna njia ya kutumia mwili wangu tuYupo Jinn mkuu anayewasidia sana watu juu ya maswala haya.
Hapana, Mimi nataka kufufuliwa na gwajima, Sasa nikipaa si ndo sawa nimekufa maana nitaacha Kila kitu?Mipango ya Mungu ila napo ukiamua utapaa kama elia
Acha uoga, hayo mengine nafanya Mimi wewe hautahusika.Ndio mwanzo wa kutafuta matatizo yasio na mwisho hapa
Katika hali ya kawaida tu haiwezekani hata kidogo do whatever you do...!haiwezekani, bila aina Fulani ya malaika na sio jinn.Mbona mmekazania majini vijana naugomvi nayo hayo hakuna njia ya kutumia mwili wangu tu
seee you guysKatika hali ya kawaida tu haiwezekani hata kidogo do whatever you do...!haiwezekani, bila aina Fulani ya malaika na sio jinn.
fafanua zaidi sasa kiongozi maana hawa wa majini wanazinguaInshort unaweza kufanya kila unachokitamani!!! Ila uwe na kiasi ,lasivyo unaweza kuleta kheri ,au majanga zaidi.potezea hiyo mkuu.
Mwenyewe natafuta maelezoDaaah nikajua ndio unatupa maelekezo ili na sisi tujifunze
NimechekaaaNdio mwanzo wa kutafuta matatizo yasio na mwisho hapa
😂😂, chukua tu hyo tendaholy holm tafadhali Sana, naona unataka kuniingilia kwenye dili langu, acha nimalizane nae kwanza au unasemaje?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app