Hii mada ni mwendo wa vichekesho tuu,,,,kinachotafutwa hakipatikani daah.Mwenyewe natafuta maelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mada ni mwendo wa vichekesho tuu,,,,kinachotafutwa hakipatikani daah.Mwenyewe natafuta maelezo
We acha tuHii mada ni mwendo wa vichekesho tuu,,,,kinachotafutwa hakipatikani daah.
Mkuu hivi na wale manabii au waganga wanaoona matatizo ya watu na kuweza watabiria yajayo na yakatokea kweli, huwa wanatumia nguvu gani? Yaani mfano anakutajia majina ya watu ambao ni kweli unawafahamu au anakuelezea matukio ambayo ni kweli umeyapitia, kisha akikutabiria kitu ambacho umekuwa ukitamani kitokee miaka mingi ila hakikutokea kinakuja kutokea baada ya yeye kukutabiria huwa wanatumia nguvu gani?
Wewe unawaza mbali sanaWazo zuri, mimi nafikilia jinsi ya kufika mkoa mwingine, bila kutembea au kupanda chombo cha usafiri.
Nimekupa kianziolakini hakuna maali inapoeleza
shika mara chacheMara mara nyingi, mara marachache tushike lipi?