Jinsi ya Kutambua Umri wa Mwana-JF

siku hizi badala ya kuandika ''SANA'' wao wanaandika ''XANA''na watumiaji wa neno hili ni mabinti...
 
ukisha ujua umri kipi kitafuata, humu watu hubadilika kutokana na mazingira ya thread. Wengine humu wanavipara lakini maneno kama pamoko sana hayawapigi chenga

Upaa sio umri,..hadi namaliza form 6 nilikuwa nao mkubwa kweli kweli.
 
naomba ukutane na bishanga plizzzz.
 
First lady1 =29
Smile= 27
Bishanga= 35
Kongosho= 28
Lizzy= 32
Jane_000 = 19 🙂lol::lol🙂
so bishanga is the oldest here,what makes you think so? acha kunizeeesha bana,Denaaaaa uko wapi kuna mtu hapa anataka nistaafishwe kabla ya muda!
 
kakustukia umri umekupa mkono mkuu..
angejua............ mi naona umri uko zaidi kichwani mwa mtu more than anything,you could be 30 uka behave na ku sound kama babu wa 60yrs and vice versa.
 

Sensible! LOL!
 

Hayo uliyoorodhesha hapo juu hayategemi umri peke yake. Kuna jinsia, mazingira aliyokulia, interests/hobby na n.k. Funguka mkuu. Hii topiki uliyoaanzisha ni pana muno kuliko ulivyo ulivyoelezea hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…