Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
wee matola
umeziona wapi feelings zangu?
Usije kuwa umeona za mdada mmoja nafanya naye kazi
alinipa zake nizipeleke kwa fundi
Ujue niliibiwa pochi juzi pale Tandika kituoni
zilikuwa kwenye pochi
unaweza nisaidia kupata pochi yangu
umeziona wapi feelings zangu?
Usije kuwa umeona za mdada mmoja nafanya naye kazi
alinipa zake nizipeleke kwa fundi
Ujue niliibiwa pochi juzi pale Tandika kituoni
zilikuwa kwenye pochi
unaweza nisaidia kupata pochi yangu
You can not hide ur identity whatever u can pretend, ni sawa na Kongosho anafurahisha baraza kwa kujifanya SHEMALE, lakini hakuna tatizo lolote kwa muelewa wa Mambo kujuwa kwamba Kongosho ni mwanamke with all woman feelings.