Jinsi ya Kutambua Umri wa Mwana-JF

Jinsi ya Kutambua Umri wa Mwana-JF

wee matola
umeziona wapi feelings zangu?

Usije kuwa umeona za mdada mmoja nafanya naye kazi
alinipa zake nizipeleke kwa fundi
Ujue niliibiwa pochi juzi pale Tandika kituoni
zilikuwa kwenye pochi
unaweza nisaidia kupata pochi yangu
You can not hide ur identity whatever u can pretend, ni sawa na Kongosho anafurahisha baraza kwa kujifanya SHEMALE, lakini hakuna tatizo lolote kwa muelewa wa Mambo kujuwa kwamba Kongosho ni mwanamke with all woman feelings.
 
Sisi ni ndugu. Tunakutanishwa na mtandao huu na kuwa familia moja japo wengi hatufahamiani. Hata hivyo,nimegundua namna ya kugundua umri wa mwanajumuia hii ya JF.

Kwa namna gani unaweza kubaini umri kwa mfano: Lizzy, Marytina, Katavi, kwa kutaja machache? Njia ni hii: Uandishi na utumiaji wa lugha mfano: bac ma d 2ko pamoko sna!. Huyu anaweza kuwa kati ya 18-25. Japo wapo wenye umri mkubwa zaidi ya hapo wanaweza kuandika hivyo kwa kuambukizwa na wale wenye umri huo kwa kuwasiliana nao mara kwa mara.

Uanzishaji mada: Zipo mada nyingine zinambainisha moja kwa moja mwandishi. Mfano-Kwanini wazee wenyevitambi, upara, mvi wanajirusha pub zenye vijana...? Itakuwa ngumu mwandishi huyu kuwa zaidi ya miaka 40. Atakuwa kati ya 20-30.

Avatar nayo ina matter sana kuugundua umri! (hapa naomba nicheke!)

Mifano ipo mingi. Ila nimetaja michache. Karibu kama unanyongeza au mchango wowote. I stand to be corrected though!

siyo kweli hata kidogo
 
First lady1 =29
Smile= 27
Bishanga= 35
Kongosho= 28
Lizzy= 32
Jane_000 = 19 🙂lol::lol🙂
 
Mpita Njia,

Haiwezekani huo kuwa umri wako ha ha ha , sisi tulikuwa wadogo saana na wewe tunakuona unadunda umevaa zile ndula za milosisi ha ha ha ha sasa mpaka leo unachechemea hapo kweli? wewe ni 50 bana, usione haya kaka yangu
Sasa Mluga we unamwaga kuku kwenye mchele mwingi... sorry... mchele kwenye kuku. Au unataka kuniharibia? Mi mwenzio mshamwaga mashairi kwa mtu humu na anafahamu kwua niko chini ya 40! Ebu tulia bana, yale ya zamani yalishapita
 
Sisi ni ndugu. Tunakutanishwa na mtandao huu na kuwa familia moja japo wengi hatufahamiani. Hata hivyo,nimegundua namna ya kugundua umri wa mwanajumuia hii ya JF.

Kwa namna gani unaweza kubaini umri kwa mfano: Lizzy, Marytina, Katavi, kwa kutaja machache? Njia ni hii: Uandishi na utumiaji wa lugha mfano: bac ma d 2ko pamoko sna!. Huyu anaweza kuwa kati ya 18-25. Japo wapo wenye umri mkubwa zaidi ya hapo wanaweza kuandika hivyo kwa kuambukizwa na wale wenye umri huo kwa kuwasiliana nao mara kwa mara.

Uanzishaji mada: Zipo mada nyingine zinambainisha moja kwa moja mwandishi. Mfano-Kwanini wazee wenyevitambi, upara, mvi wanajirusha pub zenye vijana...? Itakuwa ngumu mwandishi huyu kuwa zaidi ya miaka 40. Atakuwa kati ya 20-30.

Avatar nayo ina matter sana kuugundua umri! (hapa naomba nicheke!)

Mifano ipo mingi. Ila nimetaja michache. Karibu kama unanyongeza au mchango wowote. I stand to be corrected though!

Then what?
 
Napinga hoja, kuna watu huishi maisha ya kimtandao kutokana na yeye anavyopenda kuonekana. Akitaka watu wajue ni mtoto ataact kiutoto na hivyo hivyo kwa kiutu uzima. Kuna wengine ni vijana ila wana akili na busara zaidi ya watu wazima hivyo mabandiko yao yana hekima. Wapo watu wazima hovyo vile vile, posts zao ushuzi mtupu.

ndio maana nakupendaga wewe.
 
ukisha ujua umri kipi kitafuata, humu watu hubadilika kutokana na mazingira ya thread. Wengine humu wanavipara lakini maneno kama pamoko sana hayawapigi chenga

Mkuu Nitonye: umegusa ukweli. Wewe jina lako lingeweza kuwa kigezo!kwanamna gani?Una-trace tu matumizi ya neno nitonye lilitumika zaidi kipindi gani...!hahaha
 
ngoja nisikubishie ingawa nilishakutana na mwanajf, yupo tofauti na avatar yake, tofauti na posts zake na sikutaraji kama umri wake ungekuwa ni huo alionao. Kuna mwingine alikuwa anabehave mwanaume na hakuna aliyemtilia mashaka. Akabadili ID na sahivi anabehave kama mwanamke na hakuna anayemtilia mashaka. Ni ngumu kujua. Tuendelee tu kuguess guess.


naunga mkono hoja.
 
uko sahihi mkuu,kigezo kingine ni topic anazoanzisha mtu....utasikia demu wangu,au kuna kijana leo kapost anaomba ushauri eti jinsi ya kumpata rafiki wa mpenzi wake!yani hapo unahisi kabisa umri wake!na uandishi wa mtu..mfano hata nilivyoandika hapa unahisi kabisa am not a boy but a grown man!

Nimecheka mkuu!umeua band...!hahaha
 
sasa wanaoanzisha topic kama hizi za kutaka kujua umri wa mtu nao wanakuwa na umri gani? manake ukifikia umri wangu u stop counting and avoid besdeiz
😛hoto:

Mkuu...nmeipenda hiyo ya kuacha kuhesabu besdeiz, wakati Mugabe yeye wala haoni aibu katika hilo.Pokea kama changamoto kwa kumuiga Mugabe!haha
 
Back
Top Bottom