Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Nahitaji pumzi
na kutoa kitambi
 
hata mimi mkuu nahitaji kuanza kujenga mwili,,endele kutupia ujuzi hapa mimi nitaendelea kikou na kupaste
 
hzo za arificial sio babu,,ka vp acha nifatishe ratba yako nianze kugonga gonga maziwa na mayai,cema na mm kula ni mvivu kinyama yan
 
hzo za arificial sio babu,,ka vp acha nifatishe ratba yako nianze kugonga gonga maziwa na mayai,cema na mm kula ni mvivu kinyama yan
Hapo mkuu itabidi uanze kula kama dawa usile kama unataka kushiba.
 
Ngoja hizi styles nizichukue nikaanze tena upya,kabla sijawa na familia nilikuwa napenda sana kupiga pushups ila sasa nimekuwa mvivu ajabu,asante mkuu kwa somo zuri!
 
Mke wangu anataka kupunguza makalio afanyeje mazoezi gani ili Apunguze futa
Squats na kukimbia, haitafanya tako lipungue ila italikaza na kua shape nzuri ya duara.

Na aina ya chakula anachokula kisiwe junk food.
 
Kwa wale wenye mishono tumboni inakuJe hapa
Sijapata kua karibu na mtu ambaye ana mshono nakosa la kukujibu hapa.

Kipindi tunangojea mtu mwenye uelewa juu ya hili nashauri ungeenda kituo cha afya kilicho karibu nawe na kuomba ushauri.

CC: Dr. Luhaja Z. Nginila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…