Namba 2,Mkuu-Kwa mtu yeyote mwenye uelewa mpana wa Astral projection akisoma haya unayoyafundisha yako ata conclude mambo mawili-
1-Either kuna elimu pana ya maswala ya Astral projection huna uelewa nayo au,
2-Kuna mambo unawaficha watu kuwa-deceive ili waingie katika mtego bila kuelewa na hvyo kuangamia.
Nyie ndio hufanya watu kuziona dini ni ngumu na kusababisha watu kutokujua mambo kwa vitisho na uelewa wenu finyu.Ni hv-Mtu yeyote anayejibu hoja kwa tusi au kujeli ni dalili ya kuishiwa maarifa.Ndo maana nasema wewe kuna elimu kubwa ya maswala ya imani unakosa au unaficha,Kwa akili yako lucifer ni very weak?? Unafikiri JESUS CHRIST au AYUBU walimshinda shetani kirahisi kama unavyodhan? Wewe unadhani maandiko matakatifu yalivyosema wenye nguvu ndiyo watakaoshinda unadhan ni kazi nyepesi?
Unatakiwa kusoma na kujifunza zaidi mkuu si kila anaesoma au aliyesoma teyari ni mwalimu hivyo usiunganishe mambo kwa kuchanganya changanya na itikadi fulani kisha ukatoa quote ambazo baadae kwa watu wenye uelewa wataona huyu kaongea nini!?Inshort nimesema hivi,
1-Astral projection yoyote ile inajokuwa initiated na mwanadamu ni satanism-Astral projections zinazokuwa initiated na Mwenyezi MUNGU mwenyewe hizi ni Holy.
2-Siyo kwamba wewe ndo unajua kila kitu kuhusiana na Astral projection kama jinsi ambavyo unavyojaribu kusema, unapaswa kufika point na kujua humu duniani au forum kuna watu wana-experience na haya mambo pengine kukuzid sana.
3.Umesema kwamba wanafunzi wako unawafundisha kwamba hakuna lolote linaloweza kuwapata wakiwa out of the body,Je,hzo roho ambazo ulisema katika baadhi ya post zako kwamba zinaweza shambulia mtu hadi akakata tamaa kurudi ku-practice astral projection tena ni roho zipi hzo?? Ni roho za MUNGU?? na kama siyo za MUNGU ni zipi?
Mchango wako ni mzuri hapa mkuu lakini kadri siku zinavyokwenda ndio nazidi kuelewa uelewa wa kila mtu kuhusu haya mambo,Astra Projection na out of body ni satanic.
Watu wa mwanzo kuyafanya ni kikundi cha Rosae Crusis wanachama wake wanaitwa rosecrusians, mimi nilitaka kujiunga ili ukubaliwe ni lazima ufanyiwe initiation. Kabla ya kufanyiwa hiyo initiation unapewa warning one in there is no going out!. Nikaogopa nikaishia hapo ila hawa rosecrusians ni noma!.
Secret societies zote ni satanic, wana viapo vya usiri, initiations, mambo ya Mungu ni hadharani, Mambo ya shetani ni gizani. Powers za Mungu ni powers of the lights na powers za shetani ni powers of darkness !.
P
Huku ndio watu wenye uelewa mpana kidogo huita kufikiria nje ya boksi,Nadhan hakuna sehem iliyokuwa salama kama tunavyotaka..
uko kwenye ulimwengu wa kiroho kuna roho Ambazo zinaweza kukuthulu lakin najalibu kufikiria kwan katika ulimwengu wa nyama mbona kuna binadam wanawazuru binadam wengine sometimes katika levo ya kifo kabisa.
Nataka kujua kwa wenye experience na astro projection utofauti wa madhara ya kujeluiwa uko kwenye ulimwengu wa kiroho na ulimwengu huu n upi?
Speed ya madhara ni tofauti ? Au nn
Isije ikawa ni nadham ya uwoga tu ndo inatutesa
Especially hapo kwenye mtu wa kwanza kunitembelea dunia na elimu aliyokuwa nayo kabla ya kufika dunianiMchango wako ni mzuri hapa mkuu lakini kadri siku zinavyokwenda ndio nazidi kuelewa uelewa wa kila mtu kuhusu haya mambo,
Watu wa mwanzo kuyafanya haya si kikundi cha Rosae Crusis kama ulivyokuwa Brain washed na Google ama wazungu mtu wa kwanza kuyafanya haya alikuwa ni mtu wa kwanza kuitembelea dunia kwa mara ya kwanza na elimu hiyo alikuwa nayo kabla ya kufika hata duniani,
Rejea katika vitabu vyote vya dini na historia vitakutajia mtu huyo jina lake na elimu alizokuwa nazo.
Katika watu wote ambao nilikuwa naamini kwa kiasi kidogo sana wanaweza kuwa enlightened na haya mambo ni wewe mkuu kumbe pia bado unahitaji kujifunza zaidi na kuacha kuamini kuwa kila elimu ipo under secret society.
Ni ujinga kuamini kila kitu kimeanzishwa na watu weupe au vyama vya siri
Swali lako pia;
Je, ulishawahi kutoka nje ya mwili?
Karibu tujadili,
Rakims
Mkuu Rakims , hebu twende mdogo mdogo, bandiko lako hili ni laKila mtu hupenda kuwazidi wengine pia kuwatawala maana yoyote mwenye elimu ya kitawala si rahisi kufundisha watu wengine kwa kuogopa kutawaliwa nao.
Sasa watu wengi hawapendi watu kuijua kweli na kuachana kuwa tegemezi kwa watu ndio maana utaona wanapiga sana vita anapotokea mtu kuwafungua watu akili.
Chunguza humu Jf mimi ndio member wa kwanza kuleta hii makala na imefungua wengi na kusaidia wengi kujifahamu Sasa watu kama Pascal na John wakishaona una lengo na kusaidia watu kujitambua wanaamini kabisa utawakosesha watu wanaoamini ujinga waliowaaminisha kabla
Rakims
4. Astral projection or mental projection - An out-of-body experience in which an "astral body" becomes separate from the physical body.
Sijawahi kutoka nje ya mwili, ila nakiri, sijafanya efforts zozote kutaka kutoka nje ya mwili kwasababu kwa mujibu wa imani ya dini yangu, kutoka nje ya mwili ni ushetani!.Swali lako pia;
Je, ulishawahi kutoka nje ya mwili?
Karibu tujadili,
Rakims
Leta ushahidi sehemu ambayo wameandika ni ushetani....EVIDENCESijawahi kutoka nje ya mwili, ila nakiri, sijafanya efforts zozote kutaka kutoka nje ya mwili kwasababu kwa mujibu wa imani ya dini yangu, kutoka nje ya mwili ni ushetani!.
Na kwa members wengine humu msio jua, ukisikia wanga, ndio hawa wanaotoka nje ya mwili, na wanga hutoka kwa ajili ya kucheza tuu na kuwachezea watu, kuwawangia, ila ukizoea, unageuka mchawi, sasa sio tena kuwawangia watu bali kuwaloga, na kwenda kwenye zile karamu zao za kula maiti makaburini, na ukiwa ni mmoja wao, kupaleka chakula mezani ni zamu kwa zamu, hivyo ikifika zamu yako, ni lazima upeleke chakula mezani kwa kumtoa mpendwa, wako, watu wa kutolewa wakiisha, inakuwa zamu yako, na hapo ndio huwa mwisho wao!.
P
Kama kutoka nje ya mwili ni ushetani basi moja kwa moja unamaanisha hata Mungu naye ni shetani. Kwasababu, tunaamini binadamu akishakufa roho hutengana na mwili kwajinsi mwenyezi Mungu alivyoamua iwe hivyo. je utengano huu siyo uchawi?Sijawahi kutoka nje ya mwili, ila nakiri, sijafanya efforts zozote kutaka kutoka nje ya mwili kwasababu kwa mujibu wa imani ya dini yangu, kutoka nje ya mwili ni ushetani!.
Na kwa members wengine humu msio jua, ukisikia wanga, ndio hawa wanaotoka nje ya mwili, na wanga hutoka kwa ajili ya kucheza tuu na kuwachezea watu, kuwawangia, ila ukizoea, unageuka mchawi, sasa sio tena kuwawangia watu bali kuwaloga, na kwenda kwenye zile karamu zao za kula maiti makaburini, na ukiwa ni mmoja wao, kupaleka chakula mezani ni zamu kwa zamu, hivyo ikifika zamu yako, ni lazima upeleke chakula mezani kwa kumtoa mpendwa, wako, watu wa kutolewa wakiisha, inakuwa zamu yako, na hapo ndio huwa mwisho wao!.
P
Kama unasubiri nikuletee ushindi wa mambo ya shetani na matendo ya kishetani, utasubiri sana !.Leta ushahidi sehemu ambayo wameandika ni ushetani....EVIDENCE
Sawa ila kaka jukwaa linalokuwafaa ni lile la SIASA huku hata hapakufai...huku ni EVIDENCE tu atutaki maneno manenoKama unasubiri nikuletee ushindi wa mambo ya shetani na matendo ya kishetani, utasubiri sana !.
P
Kwa fikra zako hizi,bado sana mkuu.Sawa ila kaka jukwaa linalokuwafaa ni lile la SIASA huku hata hapakufai...huku ni EVIDENCE tu atutaki maneno maneno
Watu wakiwa usingizini usiku huwa wanatoka nje ya mwili bila kujijua. Sasa kama ni dhambi basi watu wote duniani tutaenda motoni.Sijawahi kutoka nje ya mwili, ila nakiri, sijafanya efforts zozote kutaka kutoka nje ya mwili kwasababu kwa mujibu wa imani ya dini yangu, kutoka nje ya mwili ni ushetani!.
Na kwa members wengine humu msio jua, ukisikia wanga, ndio hawa wanaotoka nje ya mwili, na wanga hutoka kwa ajili ya kucheza tuu na kuwachezea watu, kuwawangia, ila ukizoea, unageuka mchawi, sasa sio tena kuwawangia watu bali kuwaloga, na kwenda kwenye zile karamu zao za kula maiti makaburini, na ukiwa ni mmoja wao, kupaleka chakula mezani ni zamu kwa zamu, hivyo ikifika zamu yako, ni lazima upeleke chakula mezani kwa kumtoa mpendwa, wako, watu wa kutolewa wakiisha, inakuwa zamu yako, na hapo ndio huwa mwisho wao!.
P
Ww unafikra gani? Umeassume wote tuliokuwa humu ni wakristo au..at least sisi tuliambiwa itafute elimu popote ili..hapo huja consider waaio na dini...fikiria kabla ya kutendaKwa fikra zako hizi,bado sana mkuu.
Mkuu John7371, Luciferi ni very tricky when deceiving kutafuta wafuasi, kuna wakati anaji disguise as God na kufanya hata miujiza ili watu wajue ni Mungu !. Hiki kinachofundishwa hapa ni ushetani mtupu, kuna watu wanafuata tuu kama mazuzu. Mimi ndiye mchangiaji wa 4 wa bandiko hili na niliwapa angalizo muhimu kabisa, but its very unfortunately, wanaomkubali na kumfuata shetani ni wengi kuliko wanaomfuata Mungu. Njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba, ya kwenda motoni ni nene!.Ni hv-Mtu yeyote anayejibu hoja kwa tusi au kujeli ni dalili ya kuishiwa maarifa.Ndo maana nasema wewe kuna elimu kubwa ya maswala ya imani unakosa au unaficha,Kwa akili yako lucifer ni very weak?? Unafikiri JESUS CHRIST au AYUBU walimshinda shetani kirahisi kama unavyodhan? Wewe unadhani maandiko matakatifu yalivyosema wenye nguvu ndiyo watakaoshinda unadhan ni kazi nyepesi?
Kila mtu anakuwa defined na jinsi au namna anavyojenga hoja zake-Wakati mwingine mtu au watu huamua kukaa kimya kutokujibu jambo au mtu kutokana na ufinyu wa hoja zake.Safari ipo 🤣 🤣 🤣Ww unafikra gani? Umeassume wote tuliokuwa humu ni wakristo au..at least sisi tuliambiwa itafute elimu popote ili..hapo huja consider waaio na dini...fikiria kabla ya kutenda