Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Rakims nkiwa katika hali hiyo naweza kuingia hata benki nisionekane?? naweza kubeba vitu vya uzito wa kawaida??:nod:

cc@pasco

utaingia popote lakini hutaweza kubeba chochote..... kumbuka upo in spirit form naweza kukishika na kukihisi unaweza kupita katikati yake unaweza kumgusa mtu na ukamuhisi lakini kubeba huweza...
 
Last edited by a moderator:
Big up mkuu Ramkin kwa kutupa somo.mimi nadhani kuna watu tupo na interest ya kuyajua haya mambo.so kama una hic hayakufai ni vyema ukatoa mtazamo wako na kumuacha mwalimu atujuze tusiojua na sio kumkatisha kwa hoja zako zakidini wakati dini yenyewe tumeletewa.

Mkuu Ramkin kama nahitaji zaidi kujua hizi mada kwa lugha yangu(Namaanisha kwa kiswahili ili nielewe vizuri bila misamiati) naweza kufata utaratibu gani?

Kupitia Maswali Na Majibu Na Niongeza Zinazotolewa Hapa Pengine Pote Ni Kingereza Tu...
 
Mmmh kumbe kuna mambo makubwa huku. Hivi kuna mashart yoyote katika kujifunza haya mambo?

Ni Sharti Moja Tu Uwe Na Akili Timamu Na Uelewa Maana Sifundishi Watoto Kwenda Kukamata Panzi In Spirit Form...
 
Uchawi wako hauna mwiko kuelezewa waziwazi?
Wa-kiswahili ukitoa siri kama hizi unaadhibiwa na kutengwa kama si kuuwawa kabisa.

Wewe Ni Mchawi? kama sio Una mwenzio ambae ni mchawi.. kama sio umejuaje Wanaadhibiwa Hivyo Hao Wajinga Na Wajinga Wenzao?

N.B Huu Sio Uchawi Ni Nguvu Ya Mtu Binafsi... Highest State Of OneSelf Brain Power..
 
Wewe Ni Mchawi? kama sio Una mwenzio ambae ni mchawi.. kama sio umejuaje Wanaadhibiwa Hivyo Hao Wajinga Na Wajinga Wenzao?

N.B Huu Sio Uchawi Ni Nguvu Ya Mtu Binafsi... Highest State Of OneSelf Brain Power..
Hata uupe jina gani zuri hii ni aina ya uchawi tu.
Kumbuka wenzetu wamagharibi wao hawana soni na yale wayatendayo ndio maana mtu anaweza kujitambulisha kuwa yeye ni mchawi hadharani tofauti na sisi waafrika.
Sasa kwakuwa wewe umeipata elimu hiyo bila kufichwa unaona kama ni kitu cha kawaida tu ila jua hapo unaingizwa katika uchawi bila mwenyewe kujijua.
Ila tnaishi katika dunia huru, Mimi naamini hivyo, nawewe kama unaona ninachokiamini mimi ni potofu hulazimiki kuniamini au kunifuata.
Natumai nimeeleweka.
 
Hata uupe jina gani zuri hii ni aina ya uchawi tu.
Kumbuka wenzetu wamagharibi wao hawana soni na yale wayatendayo ndio maana mtu anaweza kujitambulisha kuwa yeye ni mchawi hadharani tofauti na sisi waafrika.
Sasa kwakuwa wewe umeipata elimu hiyo bila kufichwa unaona kama ni kitu cha kawaida tu ila jua hapo unaingizwa katika uchawi bila mwenyewe kujijua.
Ila tnaishi katika dunia huru, Mimi naamini hivyo, nawewe kama unaona ninachokiamini mimi ni potofu hulazimiki kuniamini au kunifuata.
Natumai nimeeleweka.


Me nafikiri kama kitu hujui au huna uhakika nadhani ungeacha wanaotaka kujua tufahaamu.

Kama ni dhambi basi zipo nying sana na zote ni makosa kwa muumba.
 
Uamue kutoka ndani ya mwili wako kisha ukitaka kurudi rudi na wewe, ndiyo ushadedi hivyo. Hatariiiii
 
Me nafikiri kama kitu hujui au huna uhakika nadhani ungeacha wanaotaka kujua tufahaamu.

Kama ni dhambi basi zipo nying sana na zote ni makosa kwa muumba.

Naachaje kuongea ilhali cha kuongea ninacho?

Hapa ni umejijibu mwenyewe :"Me nafikiri kama kitu hujui au huna uhakika nadhani ungeacha wanaotaka kujua tufahaamu."
 
Pasco Ni kweli unayoyasema ndio maana kuna mambo mengine hayafai watu kufundishwa akikosea ndio anakufa moja kwa moja mimi huwa sipendi kujaribu kitu kwa njia ya Riski.

Mimi huwa inatokea sio kila siku kusafiri wakati nipo ndani ya usingizi nikikusudia huwa ndio ninasafiri na sio kwa nia mbaya bali kutembea na kujionea mwenyewe ulimwengu jinsi ulivyo ingawa ukizoea utaona raha lakini sio nzuri kusafiri ndani ya ndoto unaweza unakokwenda usirudi tena ulipo toka. nimekuelewa Mkuu Pasco.

Kivipi aisee me sijaelewa naomba ufafanuzi
 
Last edited by a moderator:
Jinsi unavyoacha mwili wako na kuchukua mwili wa spirit form. Je unatumia mda gani na je nikishtuliwa na nlikuwa nshaenda mbali siwezi kupotea
 
Kwweli hii kiboko.... Hapa MziziMkavu nae hajui hii ki2.........?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenzi, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.

Masharti ni haya.


  1. Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa fungua, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha tuu na kuchange position hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
  2. Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ndio bora zaidi, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, safari jumla!.
  3. Hizi ni highest stages za maditation ambazo haziruhusiwa kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari!.
  4. Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening the "third eye!"
  5. Hizi ndizo the first stages za wachawi!.

Wito wangu mimi, kama hujui unataka nini, utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do!. Mtu asikudanganye its is not fun!. Too much knowledge is harmful please don't try!.

Pasco
Kwa tahadhari hizi, sitakaa nijaribu hata kidogo
 
One question, what happens if somebody decides to kill or steal your body when you are out of it? Would you be able to return?
 
Back
Top Bottom