Kwa walevi je inatufaaa?
tehe! tehe! tehe!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa walevi je inatufaaa?
Njoo nikutoe unaangaika na rakim wa nini tomasa na massage za kutosha utasinzia tuuh!
Yaliyo funuliwa kwetu na Mungu Muumbaji ni yetu na watoto wetu, yasiyo funuliwa tusijaribu kuyafunua!!
Mi kwani nataka kusinzia basi......mi nataka kwenda kumuona Warda rafiki yangu yupo Abu Dhabi........long time ujue sijamuona.........
Lazima nifanye hii halafu moja kwa moja niende hadi kwa mtoto Wema....au Nicki Minaj ivii 😄😃 full.kuchezea sehemu zao za kukalia
Wow, nafurahi kuona kuna watu wanaotambua AP. Ni kitu ambacho ni kweli and you can train yourself to it. It is amazing experience.
Wow, nafurahi kuona kuna watu wanaotambua AP. Ni kitu ambacho ni kweli and you can train yourself to it. It is amazing experience.
anza kupractise kuanzia sasa mzeeee ukiweza yale bas waweza fanya hvyo mzeee
Nikifa.......?......
heb nielekeze jinsi ulvyofanya ww ili kwenda kwenye paralyzed state?
vp mkuu na ww ushawahi kuifanya nn?
Niliwahi kupatwa na hisia hiyo nilipokuwa kwenye deep meditation lakini nilikuwa sijajua chochote kuhusiana na aina ya gani ya experience nimeipata mpaka baadaye nilipokuwa nasoma vitabu na nikagundua ilishanikuta. Niliusahau mwili na sikuuhisi mwili kwa kipindi fulani.
nomal mwili wako uta send signal na utarudi kwa wakat ni vile umelala mtu anakuja kukuamsha just the same like that!@ mzuvendi
Jibu ulotoa sisahihi, pasco kasema; mtu akitokea akausogeza mwili wako hata kwa milimita chache tu,you're gone for good... haya mambo hayafai... mie ntaendelea kuwa layman.
Hii inatofauti gani nawachawi wetu au wawanga ambao wanaweza kuingia ndani lkn hawawezi kuondoka hata na sindano?
daaaaah na mie naitaka hyo hali hv ww umefanya vp mpaka kuwa hali ya kuwa paralyzed?