King's daughter
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 690
- 198
Duuh nimeishia kucheka tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh nimeishia kucheka tu!
ha ha ha, kweli make hyo topic ina ideas za kiwanga fulani iviNgoja nichukue kozi niwe naenda kuwapa hi wazee kijijini maana nauli za mabasi zilishanishinda miaka mingi tu...
Ahh bado nataka kuishi..
mbona ckuon kama unacheka kwwl
Utaonaje? nacheka kirohoroho....
Mkuu Rakims........naomba nieleweshe..........naweza kutoka nikaenda kumtembelea mtu.........?......kuna rafiki zangu nimewamiss halafu wapo mbali.........japo niwaone tu.......maana najua sitaweza kuwaongelesha.............
Hii inatofauti gani nawachawi wetu au wawanga ambao wanaweza kuingia ndani lkn hawawezi kuondoka hata na sindano?
tofauti yake wao wanategemea shetani na hii unategemea mungu... sawa na kusema kuna tofauti gani kati ya binadamu kula nyama na mchawi kula ya mtu mwenzie? zote nyama tatizo moja halali na nyingine haram...
"Rakims"
tofauti yake wao wanategemea shetani na hii unategemea mungu... sawa na kusema kuna tofauti gani kati ya binadamu kula nyama na mchawi kula ya mtu mwenzie? zote nyama tatizo moja halali na nyingine haram...
"Rakims"
mkuu rakims nikiwa katika paralyzed state ndo natakiwa niamke hapo au inakuaje maana hata sielewi mkuu
saf mkuu bas fanya tenaaaa uende ulaya kwa bill gates ukajifunzeee vitu mbal mbal kuhusiana na microsoft