Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

kabisa

"Rakims"

Ndgu Rakims, mim mbona pia hata kama sijalala naweza separate my body na akiri yangu then nkaanza kujifikiria mim ni nani na nkaona hiyo separation like my body na fikra zangu ni tofauti, hii hata kama niko kwenye kelele nkijifikiria hutokea japo sijaelewa inahusiana na hili unalosema ama laa, pia kipi kinanifanya niweze fanya hilo, je kila mtu anaweza?
Does this offend God?
 
Ndgu Rakims, mim mbona pia hata kama sijalala naweza separate my body na akiri yangu then nkaanza kujifikiria mim ni nani na nkaona hiyo separation like my body na fikra zangu ni tofauti, hii hata kama niko kwenye kelele nkijifikiria hutokea japo sijaelewa inahusiana na hili unalosema ama laa, pia kipi kinanifanya niweze fanya hilo, je kila mtu anaweza?
Does this offend God?

Yako kiboko!
 
Ndgu Rakims, mim mbona pia hata kama sijalala naweza separate my body na akiri yangu then nkaanza kujifikiria mim ni nani na nkaona hiyo separation like my body na fikra zangu ni tofauti, hii hata kama niko kwenye kelele nkijifikiria hutokea japo sijaelewa inahusiana na hili unalosema ama laa, pia kipi kinanifanya niweze fanya hilo, je kila mtu anaweza?
Does this offend God?

Binafsi Sijakuelewa Unamaanisha Nini?

"Rakims"
 
rakims je mtu anaweza kutumia njia hiyo ili kuimarisha nguvu za kiroho kutokana na imani yake?

Haswaa Mfano Umetoka Na Kuanza Kusoma Kitabu Cha Dini Unahifadhi Zaidi Kwa Sababu Pale Unakuwa Upo Thoughtless Hivyo Kuingiza Ni Rahisi Sana... Ila Ukitoka Astral Na Kufanya Machafu Basi Jua Unaichafua Na Roho Yako....!!

"Rakims"
 
Kuna mahusiano gani ya sanaa hii na dini ya hindu ?
Imenivutia sana ila sijapata pa kujifunza.

Sawa Mahusiano Yake Na Dini Ya Hindu Ni Kwamba Wao Wanatanguliza Majina Majina Yao Ili Kuweza Kufanya hii Astral Projection, Pia Wachina Hufanya Wakiwa Mbele ya Masanamu Yao Huhisi Kwamba Ndio Yanawapa Nguvu Hizi Kitu Ambacho Si Kweli.. Ni Sawa Na Wewe Leo Uikamilishe Hii Nguvu Halafu Uanze Kuwaaminisha Watu Kwa Imani Yako Kwamba Ukifanya Hivi Inakuwa Hivi Hapana... Pia Hii Ni Sawa Na Kulala Kila Binaadamu Analala Na Kuota Ndoto Lakini Mbona Huwa Hazitubadilishi Imani Ndio Sawa Na Hii Ni Vitu Ambavyo Vipo Tu.. Kukataa Kufanya Hii NiSawa Na Kukataa Kuendesha Gari La Mjapani Kisa Kalivumbua Yeye Na Sio Wewe...
tofauti ni kwamba wao wanaamini inatokana na masanamu imani yao ni sawa wewe ufanye Mazoezi Mwili Ujikate Useme Hii six path nimepewa na Sanamu....


"Rakims"

"Rakims"
 
umeelezea hadi mwisho ndugu rakim lakini sijaona narudije kwenye hali ya awali? je kuna fall back procedure incase something gone wrong? precautions zozote labda?
 
Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenzi, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.

Masharti ni haya.


  1. Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa fungua, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha tuu na kuchange position hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
  2. Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ndio bora zaidi, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, safari jumla!.
  3. Hizi ni highest stages za maditation ambazo haziruhusiwa kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari!.
  4. Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening the "third eye!"
  5. Hizi ndizo the first stages za wachawi!.

Wito wangu mimi, kama hujui unataka nini, utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do!. Mtu asikudanganye its is not fun!. Too much knowledge is harmful please don't try!.

Pasco

Mkuu bora umetoa angalizo ya mambo ya kuzingatia kabla ya kuanza hili jambo. Mana mimi nilitaka kujaribu,ila sasa naogopa nisije rest in peace kwa kutozingatia vigezo na masharti.
 
Anachosema ndugu ''Rakims'' ni kweli kabisa lakini madhara yake yapo kwa kweli. Mfano ikitokea huko ulikokwenda ukakumbana na opposition power ambazo utokea rarely na zikakukabili na kukushinda basi ujue kurudi kwa mwili wa kawaida ni something probable. Watu wengi wanaokutwa dead sometimes hili limechangia!
 
umeelezea hadi mwisho ndugu rakim lakini sijaona narudije kwenye hali ya awali? je kuna fall back procedure incase something gone wrong? precautions zozote labda?

Mkuu kurudi ni rahisi sana wakati unatoka unatizama mwili wako ulipouacha hiyo ndio inakuwa kama key ukiufikiria tu mwili wako ulipouacha unarudi, ukiwaza mwili uliouacha unarudi, kuna silver cord inakuwa imekuunganisha na mwili wako pia nayo inaweza kukuongoza kurudi kwenye mwili wako ukiugusa tu mwili wako umerudi, kama kitu kimeenda wrong in body utarudi pia na kama kuna kitu kimekukuta in spirit body haikudhulu ila kama mtu atakuumiza mwili uliouacha itakudhuru... kama umehisi kupotea ukifumba macho tu umerudi... kurudi ni rahisi sana na huwezi kupotea....... bona
 
Last edited by a moderator:
Anachosema ndugu ''Rakims'' ni kweli kabisa lakini madhara yake yapo kwa kweli. Mfano ikitokea huko ulikokwenda ukakumbana na opposition power ambazo utokea rarely na zikakukabili na kukushinda basi ujue kurudi kwa mwili wa kawaida ni something probable. Watu wengi wanaokutwa dead sometimes hili limechangia!

naafiki unachosema lakini hiyo huwatokea wanaozifuata hizo opposition power kwani sasa hivi si upo safe hapo lakini ukitaka usiwe safe utaenda kukaa na wavuta bange au bar za usiku wa manane hii hukuletea matatizo sawa na spirit world wengi husema ni kama kutembea usiku wa manane kwa kuangalia waende wapi? Bar? Disco? Vijiweni? au sehemu za amani... ukienda sehemu za amani utakutana na vya amani ukienda sehemu za shari utakutana na vya shari.. mara nyingi nikitoka astral projection hunguka maeneo ya ibada na kuzunguka maeneo yaliyo na mwanga tu ambapo hata taa imezimwa huwa sikatizi.. na it been years i do it... nikipenda natoka nikipenda sitoki... na nikitoka humtanguliza mola wangu mbele na ukitoka kwa kmtegemea mwenyezi mungu tu unakuwa invisible hata kwa wachawi na ukitoka unaona wenzio waliotoka au wanaojaribu kutoka unakutana nao wengi hurudi kwenye miili yao speed pale wanaposhindwa kuiendesha spirit body yao..........
 
Ngoja nichukue kozi niwe naenda kuwapa hi wazee kijijini maana nauli za mabasi zilishanishinda miaka mingi tu...
Ukita kujifunza kuruka japo ni mchana kweupe nenda nchini Malawi kuna mji unaoitwa Lilongwe kuna wataalamu huko watakufundisha namna ya kuruka ila sio kwa nia ya uchawi kuruka Mji mpaka Mji hata kwa wakati wa mchana kweuep unaruka tu. Mkuu KikulachoChako
 
Ukita kujifunza kuruka japo ni mchana kweupe nenda nchini Malawi kuna mji unaoitwa Lilongwe kuna wataalamu huko watakufundisha namna ya kuruka ila sio kwa nia ya uchawi kuruka Mji mpaka Mji hata kwa wakati wa mchana kweuep unaruka tu. Mkuu KikulachoChako
Ngoja nifanye mchakato nifike huko......hio kozi itanisaidia sana.............
 
Kupitia ule msemo wa Practise makes perfect, nimejikuta nikifulu kwa asilimia kadhaa za A.P

japokuwa ile hatua ya mwanzo inaogopesha kwa hasasa kama akina sisi ambao ni begginers lakini kwa upande wangu nikasema lazima niweze.

Nimejaribu hii kitu kwa kama siku tano ivi bila mafanikio ila leo nimejaribu ikakubali!

Ila nimeishia kwenye stage ya kuparalyze,

kuna vitu viwili ambavyo nahisi ndivyo vilivyonifanya nishindwe kuendelea,
1. Mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda mbio kupita kawaida

2.kila nilipojaribu kuinuka na ile astral body nilishindwa nianzeje... Ila nilikuwa nahisi kama roho inatoka ivi...

Kunawakati mwingine nilikuwa nahisi huu mwili sio wangu kabisa, na nikawa najiskia kabisa jins ninavohema (kama kuna mtu pembeni )

nilikaa kwenye hali hiyo kama kwa muda wa sekunde arobaini ivi, kisha niakaamka...

Kingine, nilipoamka nikajikuta kama nguvu zimeniishia ivi...

NI HAYO TU...

Labda wakuu wenye ujuzi na haya mambo wanaweza wakachangia kitu..
 
Back
Top Bottom