Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Lazima nifanye hii halafu moja kwa moja niende hadi kwa mtoto Wema....au Nicki Minaj ivii 😄😃 full.kuchezea sehemu zao za kukalia

nafsi huwa haigusi kitu chochote na ndo maana waweza penyeza had kwenye mlango aiseee hata kama umefungwa sasa katka hal hyo waweza shka kwel hata tak.........o la minaj au wemaa??
 
heb nielekeze jinsi ulvyofanya ww ili kwenda kwenye paralyzed state?

vp mkuu na ww ushawahi kuifanya nn?

Niliwahi kupatwa na hisia hiyo nilipokuwa kwenye deep meditation lakini nilikuwa sijajua chochote kuhusiana na aina ya gani ya experience nimeipata mpaka baadaye nilipokuwa nasoma vitabu na nikagundua ilishanikuta. Niliusahau mwili na sikuuhisi mwili kwa kipindi fulani.
 
Niliwahi kupatwa na hisia hiyo nilipokuwa kwenye deep meditation lakini nilikuwa sijajua chochote kuhusiana na aina ya gani ya experience nimeipata mpaka baadaye nilipokuwa nasoma vitabu na nikagundua ilishanikuta. Niliusahau mwili na sikuuhisi mwili kwa kipindi fulani.

saf mkuu bas fanya tenaaaa uende ulaya kwa bill gates ukajifunzeee vitu mbal mbal kuhusiana na microsoft
 
nomal mwili wako uta send signal na utarudi kwa wakat ni vile umelala mtu anakuja kukuamsha just the same like that!@ mzuvendi

Jibu ulotoa sisahihi, pasco kasema; mtu akitokea akausogeza mwili wako hata kwa milimita chache tu,you're gone for good... haya mambo hayafai... mie ntaendelea kuwa layman.
 
Jibu ulotoa sisahihi, pasco kasema; mtu akitokea akausogeza mwili wako hata kwa milimita chache tu,you're gone for good... haya mambo hayafai... mie ntaendelea kuwa layman.

ni kwel mkuu mtu akikusogeza tu kidogo aisee kaharbu kila kitu natavunja ile kitu inayokuvuta
 
Back
Top Bottom