Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Aaah!! Mkuu kama upo tayari ni rahisi sana! But hatua itakayokufikisha kwa urahisi zaidi anza na mediation?! Ukimaliza ni pm
Wakuu tusaidiane hii kitu, mmoja kati yenu aniPM nna idea flan
Teh teh teh teheee!!! huwezi kufa kirahisi hivyo mkuu... unapokuwa umeuacha mwili wako ile wanayoita silver cord inakuwa inatuma taarifa ya nini kinaendelea kwenye mwili wako.
Kwa mfano mimi mwenyewe ninapokuwa nje ya mwili mtu akiingia chumbani kuniamsha huwa namsikia na hurudi haraka kwenye mwili kisha naamka!!!
 
Mm huwa inanitokea mkuu tena mchana kama nimepumzika,unakuta nipo usingizin lkn nasikia kinachondelea muda huo kama niliacha labda tv au radio on,tatizo linakuja nnaweza nikisikia kitu labda nikataka niamke nashindwa kabisaaa,kingine nnaweza nikawa kwenya mwendelezo wa ndoto fulan nnaifurahia but ikitokea tu kwenye hio ndoto kukawa na sehemu inantisha nna uwezo wa kuikatisha then nikaendeleza nadhan hio ni moja ya maajabu ya Mungu amenipatia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaweza Ukapractice zoezi hili hadi kwa Muda gani mpaka ukafanikiwa,?
Na je roho ikishatoka kwenye mwili hali gani hutokea kwenye macho? Ni wewe nwenyewe hutakiwa kuyafumbua au ghafla tu ukishakuwa hewani uang'avu huja na kuanza kuona bila kufumbua?
 
mi hii nimejaribu juz kati,aisee raha sana nilikua nazinguana na mapaka usiku yaani.unasafir kokote halafu kimawazo kuna wakati nlikua najiona amaizing sana
 
Nia ya hili somo ni nin?vtu kama hiv kwenye jimuiya kama hii c vzur mana wengine hawapitwag
 
Karibu Nalifungua Darasa Lake Hakuna Mchango Wowote Maana Nimeshaitwa Tapeli Hata Asante Kwangu Mali Sana

Rakims
Kaka kwenye msafara wa mamba na kenge wamo, achana na kenge, wajari mamba wenzako, uwafungue macho.
Wanaokumbatia ujinga waache waukumbate sawia
 
Rakims
Mbona natulia mpaka dakika 20 _30 hakitokei chochote ? Nakosea nini ? Msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom