Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Inatokea Wakati Unatoa Kiwili Wili Akili Na Hisia Zinabaki Nyuma, Sio Mbaya Wengi Wanajikuta Wakifanya Hivyo Yule Dada Muhindi Alivyomuita Yule Mtoto Ile Ilikua Tayari Ni OBE Dream Na Jinsi Ulivyorudi Still Bado Ilikuwa Hiyo Hiyo,Mi hata sielewi sasa huko unapoenda unapaonaje, kwa mfano tuu, mm nataka kwrnda America, c ndio, ila mimi siijui America kabisa, zaidi ya kuiona ktk media, sasa si naweza kufika nchi nyingine alaf nikahisi nipo tayar America? Kingine mm naweza kutoka ktk mwili wangu, ila nikiona nimeucha tuu asee huwa nahisi nishakufa na najitahidi sana niamke, sasa shida nyingine niliyonayo mimi huwa hii hali yanitokea bila kujiandaa kama nilivyosoma awali, pili mm hunitokea nnapolala mchana, yaani karibia wakat wote ni mchana, pia kuna tukio flani hivi niliwahi cjui ndio kuota au kutoka ktk mwili/ mtanisamehe bure kama nakosea, ila na mm nahitaji kufaham na nnaamin hapa majibu yapo, niliwahi ota ama toka, wakati huo nilikuwa mwananyamala dar/ nilipotoka/ ota nikajiona nipo Iringa natembeatembea mitaa ya miyomboni, lakini ghafla nikaona kama kuna dada ana asili ya kihindi yupo upande wa pili wa barabara anamuita kijana mmoja ambaye yupo upande niluosimama mimi, anamwita mfano wa kumwita mtu kwa ishara bila ya sauti, kishawakati yule kijana anaenda kulikuwa na basi linakuja kwa kasi, yale mabasi ya kizamani leyland, likamgonga yule kijana, ajabu nikamuona yule dada muhindi anafurahia kisha akaanza kunywa damu ya yule kijana, hapo nikajigundua kuwa naota, ila wakati najilazimisha kuamka, nikaamka na kuuona mwili wangu ukiwa umelala na mimi nimeusimamia kwa pembeni, wakati nashangaa, akaja yule dada mwarabu/ muhindi niliyomuona kule iringa, akaniambia kwamba mbona umenikimbia kule, sikia umejua mimi ni nani na umejua kama ile ajar nimeisababisha sasa unayaona yale maji, mle chumbani kulikuwa na beseni huwa tunaifadhia vyombo ama maji, na wakati naenda kupumzika ile saa nne asubui kulikiwa na maji, akaniambia unaonabile damu ktk beseni? Nikamjibu yale ni maji, akasema angalia vizur, nikaangalia nikaona yanabadilika kuwa dam nikaona huu sasa msala, nikaanza jilazimisha niamke huku yeye akiuliza unataka kwenda wapi? Akaanza nikaba, kwa kweli nilifurukuta hata nipoamka niliamka kama mwehu hivi, nikajigusa shingoni nikiwa na alama za kucha, sasa hapa sijajua nilikuwa nakabwa kweli au nilikuwa najikaba mwenyewe
Watu Wakikuangalia Wanaona Unapumua Vizuri Na Umelala Mkuu Maana Unaacha Mwili Huachi GOGOahah we #dola nani anatak afe huku unajiona mashart lukuki ukiteleza tu umekufa kwahyo? na imagne nimejitoa kivul mwil nauacha alaf watu waje akat sipo wajue n marhemu wanizke alaf nirudi mizuNgukO yangu mwili orginal nisiukute ile silver itagongana wapi mpaka ni rudi mwenyewe orginal!!!!!!! Hii kitu ni kama soja kwenda vitan kwahyo kuna ma2 kufa/ kupona vitani.
Ukitaka Kuona Chenye Nafsi Tumia Nafsi Ukitaka Kuona Moyo Tumia Moyo Na Ukitaka Kuona Giza Kaa Gizani,, Waliokama Wewe Ndio Watakuona...Mtoa uzi!!!!! hicho kivuli kikitembea kinaonwa na watu wengne au kinaonwa na vivuli vyenzie?
hapo huwa unaishia paralysis state!!Mm huwa inanitokea mkuu tena mchana kama nimepumzika,unakuta nipo usingizin lkn nasikia kinachondelea muda huo kama niliacha labda tv au radio on,tatizo linakuja nnaweza nikisikia kitu labda nikataka niamke nashindwa kabisaaa,kingine nnaweza nikawa kwenya mwendelezo wa ndoto fulan nnaifurahia but ikitokea tu kwenye hio ndoto kukawa na sehemu inantisha nna uwezo wa kuikatisha then nikaendeleza nadhan hio ni moja ya maajabu ya Mungu amenipatia [emoji23][emoji23][emoji23]
LDMm huwa inanitokea mkuu tena mchana kama nimepumzika,unakuta nipo usingizin lkn nasikia kinachondelea muda huo kama niliacha labda tv au radio on,tatizo linakuja nnaweza nikisikia kitu labda nikataka niamke nashindwa kabisaaa,kingine nnaweza nikawa kwenya mwendelezo wa ndoto fulan nnaifurahia but ikitokea tu kwenye hio ndoto kukawa na sehemu inantisha nna uwezo wa kuikatisha then nikaendeleza nadhan hio ni moja ya maajabu ya Mungu amenipatia [emoji23][emoji23][emoji23]
ukoshahisi Unaelea Hapo Hapo Unaopen Eyes...Unaweza Ukapractice zoezi hili hadi kwa Muda gani mpaka ukafanikiwa,?
Na je roho ikishatoka kwenye mwili hali gani hutokea kwenye macho? Ni wewe nwenyewe hutakiwa kuyafumbua au ghafla tu ukishakuwa hewani uang'avu huja na kuanza kuona bila kufumbua?
Wakati Umeingia Huko Ulijaribu Kutafuta Psychic Power Ulionayo Au Ulikua Unacheza Na Paka Tu?mi hii nimejaribu juz kati,aisee raha sana nilikua nazinguana na mapaka usiku yaani.unasafir kokote halafu kimawazo kuna wakati nlikua najiona amaizing sana
we ulijuaje kidogo ikatike? hii ingekua inakatika kirahisi wale wanaoenda kujaza much power huko wasingekua wanamaliza muda wanakufa what about wale wanaouwa mnyama kwa meditation nao wangekuwa wanakufa baada ya kuuwa mnyama?j2 nlijaribu sa akati niko mtaani huku home ndugu yangu akaniamsha kwa kutikisa mwili kwa nguvu aisee nilirudi spidi kuuvaa mwili ndo nikaamka kidogo silverkodi ikatike. ila kuchezea roho raha sana
niya ya somo hili kama unafuatilia nyuzi ninazo shusha Utaelewa Ila Kama Unaona Huu Mmoja Peke Yake Huwezi Elewa Na Hakuna Mtu Anaeweza Kufanya Kitu bila Kujua + Na - Zake Labda Wewe Uwe Wa Kwanza Ndio Maana Wanazidi Kuuliza Maswali Kutaka Kujua Vitu Hivyo Viwili...Nia ya hili somo ni nin?vtu kama hiv kwenye jimuiya kama hii c vzur mana wengine hawapitwag
Kujaza much power..!?we ulijuaje kidogo ikatike? hii ingekua inakatika kirahisi wale wanaoenda kujaza much power huko wasingekua wanamaliza muda wanakufa what about wale wanaouwa mnyama kwa meditation nao wangekuwa wanakufa baada ya kuuwa mnyama?
bado hujafahamu how powerful your brain is?
Rakims
Owkay..Yap The Mastering States Of Spiritual Practices!!! Hizi Hazifundishwi Public... Sorry Wala Hazielezewi Sana...
Rakims
Mkuu fanya hima darasa lianze..Yap The Mastering States Of Spiritual Practices!!! Hizi Hazifundishwi Public... Sorry Wala Hazielezewi Sana...
Rakims
Hahaha we jamaa unatembelea ndoto zangHivi unaweza kutoka kwenda kula papuchi?? mfano nataka kwenda kulamba papuchi ya hamisa mobeto nitafanikiwa kweli??