Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Ebanaee haya mambo yana wenyewe!!
Nimejaribu ila duh! nikaanza kuhisi pumzi inayoyoma/inapungua..! nikahairisha.
vipi mambo ndo hua hivyo ama me nimepita wrong way...?
Mkuu hicho kitu unachotaka kufanya kwa maelezo mengine wanita close to death experience.Unaweza uka rest in peace kabla ya muda wako.Hawa jamaa wanao enda nje ya mwili hawawi wawazi huko wanakoenda mwenyeji wao ni nani?
Kila sehemu kuna wanaotawala ,huwezi toka Tanzania na kuingia Kenya bila kufuata utaratibu unaweza ukaingia matatizoni.Hata katika ulimwengu wa roho kila eneo kuna wanaomiliki na kutawala eneo hilo huwezi pita salama kama hawakujui lazima mtapambana.Waseme leo wenyeji wao ni nani?
 
Mkuu hicho kitu unachotaka kufanya kwa maelezo mengine wanita close to death experience.Unaweza uka rest in peace kabla ya muda wako.Hawa jamaa wanao enda nje ya mwili hawawi wawazi huko wanakoenda mwenyeji wao ni nani?
Kila sehemu kuna wanaotawala ,huwezi toka Tanzania na kuingia Kenya bila kufuata utaratibu unaweza ukaingia matatizoni.Hata katika ulimwengu wa roho kila eneo kuna wanaomiliki na kutawala eneo hilo huwezi pita salama kama hawakujui lazima mtapambana.Waseme leo wenyeji wao ni nani?
mkuu wewe ulishawahi kujaribu?... unaweza kunielekeza vizuri kuhusu uenyeji?
 
mkuu wewe ulishawahi kujaribu?... unaweza kunielekeza vizuri kuhusu uenyeji?
Sijawahi na sina mpango,labda itokee kwangu lakini iwe inaongozwa na Mungu maana yake yeye atanipa wa kuniongoza lakin si hii ya kujifanyia kisha unakutana na roho chafu ambazo zinaweza kukudhuru.
 
Ebanaee haya mambo yana wenyewe!!
Nimejaribu ila duh! nikaanza kuhisi pumzi inayoyoma/inapungua..! nikahairisha.
vipi mambo ndo hua hivyo ama me nimepita wrong way...?
Ndio ulikuwa unaelekea kuweza. Unafika stage ambayo utahisi hupumui kabisa na ukimya kutawala na hatimaye utaamua utoke ukatalii wapi
 
Ndio ulikuwa unaelekea kuweza. Unafika stage ambayo utahisi hupumui kabisa na ukimya kutawala na hatimaye utaamua utoke ukatalii wapi
Duh! mambo haya si mchezo.
we ulishafanya hivyo ukapata faida gani..?
au kuna nini amaizing kitakuwa faida kwangu..?
 
Duh! mambo haya si mchezo.
we ulishafanya hivyo ukapata faida gani..?
au kuna nini amaizing kitakuwa faida kwangu..?
Bado sijafanikiwa kwa 100%, faida nilizoona ni kuwa na furaha muda wote, nimeongeza umakini kwenye maisha yangu, kuna tabia mbaya na mawazo mabaya nimeweza kucontrol nk.
Kumbuka hii kutoka nje ya mwili ni mojawapo ya mazoezi ya meditation.

Bado najitahidi kijifunza hili zoezi sana maana walimu wangu wananiambia kwamba ukishaweza kutoka nje ya mwili kwa usahihi unajitambua vizuri pia kugundua vipaji vyako na kuichukua nguvu zako.
Yaani kiujumla haya mambo humbadilisha mtu kuwa wa tofauti sana, hata kama ulikuwa mtu wa maugomvi kila siku utashangaa unakuwa mtulivu.
 
Bado sijafanikiwa kwa 100%, faida nilizoona ni kuwa na furaha muda wote, nimeongeza umakini kwenye maisha yangu, kuna tabia mbaya na mawazo mabaya nimeweza kucontrol nk.
Kumbuka hii kutoka nje ya mwili ni mojawapo ya mazoezi ya meditation.

Bado najitahidi kijifunza hili zoezi sana maana walimu wangu wananiambia kwamba ukishaweza kutoka nje ya mwili kwa usahihi unajitambua vizuri pia kugundua vipaji vyako na kuichukua nguvu zako.
Yaani kiujumla haya mambo humbadilisha mtu kuwa wa tofauti sana, hata kama ulikuwa mtu wa maugomvi kila siku utashangaa unakuwa mtulivu.
Ukifikisha 100% utaniambia ili uwe mwalimu wangu..
napenda maarifa mapya
 
Bado sijafanikiwa kwa 100%, faida nilizoona ni kuwa na furaha muda wote, nimeongeza umakini kwenye maisha yangu, kuna tabia mbaya na mawazo mabaya nimeweza kucontrol nk.
Kumbuka hii kutoka nje ya mwili ni mojawapo ya mazoezi ya meditation.

Bado najitahidi kijifunza hili zoezi sana maana walimu wangu wananiambia kwamba ukishaweza kutoka nje ya mwili kwa usahihi unajitambua vizuri pia kugundua vipaji vyako na kuichukua nguvu zako.
Yaani kiujumla haya mambo humbadilisha mtu kuwa wa tofauti sana, hata kama ulikuwa mtu wa maugomvi kila siku utashangaa unakuwa mtulivu.
Walimu wako..!!?
Wanapatikana wapi hao walimu mkuu..?
Na mimi natafuta mwalimu..!
Au wewe unaweza kuwa mwalimu wangu pia..!
Me huwa nafikia stage ya mwili kuwa paralysed na kusikia sauti kama ya mawimbi fulani hivi...
Ila nikifikia hiyo stage najikuta naingiwa na UOGA wa ajabu...
Mwisho narudi kwenye hali ya kawaida..!
 
Sijawahi na sina mpango,labda itokee kwangu lakini iwe inaongozwa na Mungu maana yake yeye atanipa wa kuniongoza lakin si hii ya kujifanyia kisha unakutana na roho chafu ambazo zinaweza kukudhuru.
sasa mkuu, kama hujawahi unauhakika upi na suala la uenyeji? unauhakika upi kama hawa wanaofanya hawaongozwi na mungu? unauhakika upi kama utakutana na roho chafu.
#mwisho ni kwamba kama ikitokea kwako utakuwa na uhakika gani kama utakuwa unaongozwa na mungu?... natumaini utanielezea vizuri ndugu!
 
Walimu wako..!!?
Wanapatikana wapi hao walimu mkuu..?
Na mimi natafuta mwalimu..!
Au wewe unaweza kuwa mwalimu wangu pia..!
Me huwa nafikia stage ya mwili kuwa paralysed na kusikia sauti kama ya mawimbi fulani hivi...
Ila nikifikia hiyo stage najikuta naingiwa na UOGA wa ajabu...
Mwisho narudi kwenye hali ya kawaida..!
Kuna group fulani whatsapp tunajifunza wengi mkuu, kwa sasa tuko mbali hivyo sidhani kama mwalimu atakubali kukuongeza
 
kama kuna uwezekano wa kujiunga kwenye ilo group la whatts up ningefurahi sana ningejifunza mengi kuhusu astral projection
 
Kuna group fulani whatsapp tunajifunza wengi mkuu, kwa sasa tuko mbali hivyo sidhani kama mwalimu atakubali kukuongeza
kama kuna uwezekano wa kujiunga kwenye ilo group la whatts up ningefurahi sana ningejifunza mengi kuhusu astral projection
Mshawishi atutengenezee lingine
Ukifikisha 100% utaniambia ili uwe mwalimu wangu..
napenda maarifa mapya
Kwani haiwezekani na sisi tukatengeneza kundi la WhatsApp..!?
Alafu tukawa tunaelekezana..?
Wale wazoefu kidogo wakawa walimu wa wale wanaoanza..?
Jamani tujaribu kushare hii elimu!!!
 
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......

Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...

Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....


Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua

25% Ni Watu Wanaoijua

10% Ni Watu Wanaoitumia..

Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili

Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...

Njia Hizo Ni:

1; self Astral P...

2: Astral By Binaural


HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU....

1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana

2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....

3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....

4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...

5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)

6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)

7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana

8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine

9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......

10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....


ANGALIZO:

Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....


Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu


By: Rakims
Mm huweza kufanya hayo nikiwa juu ya maji yaan baharin ...huwa nafanya hiv nalala kwa mgongo najiachia mwil ili nisihis kama niko kwenye maji nikajichanganya nafumba macho....basi naweza kulala hata dk30 ikiwa tu maji ya bahar nayo yametulia na bila kuhis kama n mm nakuwa tofaut kabiaa ubongo hauwaz chochote
 
Back
Top Bottom