Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana mi nlikua nafanya for funny tu ila kuna wakati nilikua naogopa sana nakujikuta narudWakati Umeingia Huko Ulijaribu Kutafuta Psychic Power Ulionayo Au Ulikua Unacheza Na Paka Tu?
rakims
Niunge whatsapp yako plssoon nafungua darasa la hii pekee,
Ukinywa kinatokea nini mkuu?Inaruhusiwa Kula OBE Lakini Unachokula Uwe Unakijua Kama Ni Kilevi Usijaribu....
Rakims
Una pesa..!?Niunge whatsapp yako pls
You Have To Call Miracles In Order To Perform A Miracle... Ni Simple Kitu Kigumu Kidogo Ni Kuchukua Miracles Zako Na Kuja Nazo Ulimwengu Wa Nyama...Mkuu mi I wish to perform a miracle in my body when I'm in Astral body. Is possible ?
Na hao ndio wa lengwa haswaa.Nia ya hili somo ni nin?vtu kama hiv kwenye jimuiya kama hii c vzur mana wengine hawapitwag
Kule Unatakiwa Uwe Awareness Na Uwe Na Hekima Maana We Are Talking About Spiritual World Hapa, Unaweza Kuingia Kanisani Au Msikitini Ukiwa Uko Vyombo? Na Kwa Mwenye Hekima Akitoka OBE Jambo La Kwanza Hukimbilia Nyumba Ya Mwenyezi Mungu Unaweza Ukatamani Ibada Zako Uwe Unazifanya OBE Kwa Hekima Utakazo Kutana Nazo Huko...Ukinywa kinatokea nini mkuu?
AsanteKule Unatakiwa Uwe Awareness Na Uwe Na Hekima Maana We Are Talking About Spiritual World Hapa, Unaweza Kuingia Kanisani Au Msikitini Ukiwa Uko Vyombo? Na Kwa Mwenye Hekima Akitoka OBE Jambo La Kwanza Hukimbilia Nyumba Ya Mwenyezi Mungu Unaweza Ukatamani Ibada Zako Uwe Unazifanya OBE Kwa Hekima Utakazo Kutana Nazo Huko...
Rakims
Thanks...Kama Ni Pesa Ningesema...
Rakims
Mkuu unaweza tuelimisha ni kitu gani kipya ulijifunza baada ya kuwa umeenda nje ya mwili,labda kuna jambo uliweza jifunza.Naomba utujuze labda linaweza tusaidiaKusafiri na kuona dunia jinsi ilivyo kwani watu waaokwenda angani wanakwenda kufanya nini huko miaka ya nyuma?
Hizo nguvu za kutenda hayo zinatoka wapi..Kama Ni Pesa Ningesema...
Rakims