Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,023
Ni uchawi lakini positive wala siyo negativesasa jamani huoo si uchawiiii
Ni simple sana! Google kwanza halafu njoomediation ndo zaid kwanza nataman sana
Hahaha aisee hii sio yakujaribuAaaah?! Ndo kutoka kwenyewe huko!! In automatic lakini nakushauri usijaribu tena MAANA ushapata msara na ka jin ka kihindi!
Wakuu tusaidiane hii kitu, mmoja kati yenu aniPM nna idea flanAaah!! Mkuu kama upo tayari ni rahisi sana! But hatua itakayokufikisha kwa urahisi zaidi anza na mediation?! Ukimaliza ni pm
Teh teh teh teheee!!! huwezi kufa kirahisi hivyo mkuu... unapokuwa umeuacha mwili wako ile wanayoita silver cord inakuwa inatuma taarifa ya nini kinaendelea kwenye mwili wako.
Kwa mfano mimi mwenyewe ninapokuwa nje ya mwili mtu akiingia chumbani kuniamsha huwa namsikia na hurudi haraka kwenye mwili kisha naamka!!!
Tutashukuru, nimegundua hili zoezi linataka utaratibu na umakini.soon nafungua darasa la hii pekee,
Kaka kwenye msafara wa mamba na kenge wamo, achana na kenge, wajari mamba wenzako, uwafungue macho.Karibu Nalifungua Darasa Lake Hakuna Mchango Wowote Maana Nimeshaitwa Tapeli Hata Asante Kwangu Mali Sana
Rakims