Baada Ya Kutoka Nje Ya Mwili Na Kujiona Upo Nje Ya Mwili Unaanza Kuwaza Wazi Hovyo Hayo Mawazo Ndio Yanakupoteza Na Kusababisha Silver Cord Kukuvuta Kwenye Mwili Hali Ya Kuwa Huelewi Na Haucontrol Mwili Wako Wa Astral Body Mawazo Yanabaki Spirit World Mwili Unarudi Unaanza Kuota Lucid Dream Bila Kujielewa Na Unaiongoza Mfano Huyo Mkuu Hapo Juu Alivyomuona Huyo Bibie Indian Angemshika Akamrarua Makofi Akampuliza Akapotea Ndio Angejua Anaota Tu...Mkuu OBE DREAM NI NDOTO ZA AINA GANI
CHUKUA HATUA!! [emoji57] [emoji57] [emoji57]Kulala bila kutumia chandaruana. Sehem ina mbu ni kujiua,,kuumwa na kumeza panadol bila kwenda hosp n kujiua,, kula viagra n kujiua,, kula chakula chenye mafuta mengi mf.chips n kujiua,, kutembea na mke wa mtu n kujiua,, kusex bila kondom na hamjapima n kujiua,, kujenga nyumba ktk bonde n kujiua,, kuendesha gar spid kubwa n kujiua,, bila kusahau kunywa pombe na kuvuta sigara n kujiua,, ama unazungumzia kujiua kwa stail yangu??? Ww ushajiua kwa mangapi?? TAFAKARI
Nitakujibu Lakini Next Time Uwe Unasoma Quotes Zilizopita Hii Nikishajibu Hata Mtu Akiuangalia Au Kuukaribia Wewe Zile senses unaskia na kuhisi hata akikusemesha unaelewa na kuskia hata kama uko mwezini... Wanaotumia Darkness Power Mfano Wanga Ndio Hawasikii Wala Kuhisi Maana Pale Huacha Something Instead of body Na Kuvisha Umbeli lake...1. Je kama ikitokea mwili wako umehamishwa wakati haupo itakuwaje? 2. watu wakiusemesha mwili wako utasikia au kuwaona? au wakiutikisa utashituka?
Kweli mkuu kwa hiyo hauniamini au??Be Serious Not A Post For Jokes!!
Rakims
[emoji106] iko poa iyoNitakujibu Lakini Next Time Uwe Unasoma Quotes Zilizopita Hii Nikishajibu Hata Mtu Akiuangalia Au Kuukaribia Wewe Zile senses unaskia na kuhisi hata akikusemesha unaelewa na kuskia hata kama uko mwezini... Wanaotumia Darkness Power Mfano Wanga Ndio Hawasikii Wala Kuhisi Maana Pale Huacha Something Instead of body Na Kuvisha Umbeli lake...
Rakims
Kwa jinsi ilivyokuwa sidhani kama lile ni pepoJiangalie Unaweza Kusema Umetembea Na Mke Wa Mtu Kumbe Pepo La Mke Wa Mtu...
Rakims
Unitag tu sitaki kupitwa darasasoon nafungua darasa la hii pekee,
Sielewi kitu labda unielewesheAll In All Je Unaelewa Nini Kuhusu Spiritual Sex?
Rakims
Nakuelea endelea kufunguka,nitakujibu maswali yako baadaye.Kwanza Kabisa Unatakiwa Ufahamu Kuwa Ninachofundisha Hapa Ni Kwa Beginners Na Simple Way Hakuna Wa Kukuona Katika Astral Planet Hadi Umfanye Akuone Kama Ni Dark Spirits Wao They Sense Your Fear Lakini Light Spirits Wanasense Your Belief Ndio Maana Kwenye Meditation Huwa Tunawaita Ili Wakuangalie Na Kukulinda Na Dark Spirits Na Muwakil Mmoja Anaweza Kuuwa Mapepo 100 Kwa Sekunde Chache Tu Ndio Maana Kwenye Meditation Huwa Hawasogei Maana Unakuwa Close To Your Soul...
Sijui Nimeeleweka Mkuu,
Rakims
Mmh mkuu mbona kama unanikatisha tamaa nisirudie tenaaa!!Umejihisi Mwepesi Kwa Tendo Ulilolifanya Je Unadhani Ni Mwepesi Baada Ya Kutoa Sperms Au Baada Ya Astral Body Yako Kuwa Sucked By The Creature You Call Woman?
Rakims
daah aisee iyo itakuwa bomba sana tena hiyo nitaifanya kwa kiwango kikubwa mpaka nimfikie billigatesHapana Rudi Ila Usiende Kubaka Soon Nitafungua Uzi Wa Kuchukua Vitu Kutoka Spirit World Mfano Kulala Na Kukuta Pesa Chini Ya Mtu...
Rakims