Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Mkuu OBE DREAM NI NDOTO ZA AINA GANI
Baada Ya Kutoka Nje Ya Mwili Na Kujiona Upo Nje Ya Mwili Unaanza Kuwaza Wazi Hovyo Hayo Mawazo Ndio Yanakupoteza Na Kusababisha Silver Cord Kukuvuta Kwenye Mwili Hali Ya Kuwa Huelewi Na Haucontrol Mwili Wako Wa Astral Body Mawazo Yanabaki Spirit World Mwili Unarudi Unaanza Kuota Lucid Dream Bila Kujielewa Na Unaiongoza Mfano Huyo Mkuu Hapo Juu Alivyomuona Huyo Bibie Indian Angemshika Akamrarua Makofi Akampuliza Akapotea Ndio Angejua Anaota Tu...


Rakims
 
CHUKUA HATUA!! [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
1. Je kama ikitokea mwili wako umehamishwa wakati haupo itakuwaje? 2. watu wakiusemesha mwili wako utasikia au kuwaona? au wakiutikisa utashituka?
Nitakujibu Lakini Next Time Uwe Unasoma Quotes Zilizopita Hii Nikishajibu Hata Mtu Akiuangalia Au Kuukaribia Wewe Zile senses unaskia na kuhisi hata akikusemesha unaelewa na kuskia hata kama uko mwezini... Wanaotumia Darkness Power Mfano Wanga Ndio Hawasikii Wala Kuhisi Maana Pale Huacha Something Instead of body Na Kuvisha Umbeli lake...

Rakims
 
[emoji106] iko poa iyo
 
Nakuelea endelea kufunguka,nitakujibu maswali yako baadaye.
 
Umejihisi Mwepesi Kwa Tendo Ulilolifanya Je Unadhani Ni Mwepesi Baada Ya Kutoa Sperms Au Baada Ya Astral Body Yako Kuwa Sucked By The Creature You Call Woman?

Rakims
Mmh mkuu mbona kama unanikatisha tamaa nisirudie tenaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…