Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Kuna vitu vinaogopesha, sasa hiyo sijui niite nafsi make sio mwili, inanyanyuka kwenda wapi
huu si uchawi huu? Waafrica hatukunyimwa vyote tena nahisi tumependelewa mnoo
Rakims ukinyanyuka hivo mtu mwingine anaona pia?

hapa unaweza ita nafsi lakini ni thought ndio inayokuletea hili...

rakims
 
hapana hii sio astral projection hii yako ni second sight ni uwezo wa mtu kuhisi uwepo wa mtu akiwa mbali kiasi cha kumvutia hisia za uwepo wake hii hupelekea mtu ikiwa imekolea kusense tatizo na likaja kweli...

Rakims

bas mimi imekolea kweli na huwa najilaumu sana maana wakati mwingine huwa namuhic mtu ambaye labda atakuwa na madhala au sipendi kukutana nae ila kabla sijafanya maamuzi ya kubadili njia au kutoka eneo husika jamaa nakutana nae au ananikuta mda huo huo huwa najilaumu sana kuchelewa kufanya maamuzi ya haraka
 
Asante kwa elimu hii mkuu, lakini je ni vyema kuanza na hii au nianzie kwenye meditation?

Pia nataka kujua kama hii inauhusiano na ile hali ya mtu kuamua kuangalia glass mpaka ikavunjika au kuamua kuangalia kijiko hadi kikajikunja.
 
Asante kwa elimu hii mkuu, lakini je ni vyema kuanza na hii au nianzie kwenye meditation?

Pia nataka kujua kama hii inauhusiano na ile hali ya mtu kuamua kuangalia glass mpaka ikavunjika au kuamua kuangalia kijiko hadi kikajikunja.

inahusiana sana maana unakuwa telekinesis katika astral body...

Rakims
 
Asante kwa elimu hii mkuu, lakini je ni vyema kuanza na hii au nianzie kwenye meditation?

Pia nataka kujua kama hii inauhusiano na ile hali ya mtu kuamua kuangalia glass mpaka ikavunjika au kuamua kuangalia kijiko hadi kikajikunja.

Stop around the bush, hii ya glass au kijiko ikoje
 
Rakims
samahani naomba kuuliza, eti tunaweza kutoka out na wife kwenda kuenjoy mandhari pamoja? na tukaelewana. na je tunaweza kukutana na watu waliotoka nje ya mwili kama sisi?
 
Rakims
samahani naomba kuuliza, eti tunaweza kutoka out na wife kwenda kuenjoy mandhari pamoja? na tukaelewana. na je tunaweza kukutana na watu waliotoka nje ya mwili kama sisi?

Hahahahaha ndugu inaonekana umewaza mbali sana .
 
hujafika huko ila ili la kutoka nje ya mwili ushaweza si ndyo?

Nafika mpaka kwenye ganzi kisha najitikisha ili niamke.... Sijawa serious sana na hili, nazingatia zaidi meditation kwa sasa mpaka siku Rakims atakapojibu swali langu
 
Last edited by a moderator:
Nafika mpaka kwenye ganzi kisha najitikisha ili niamke.... Sijawa serious sana na hili, nazingatia zaidi meditation kwa sasa mpaka siku Rakims atakapojibu swali langu

ok ok mi mwenyw ngoja niwe serious sasa kwan nmejaribu mara moja hapa nkaona hisia za kumeza mate zinakuja. nameza naanza upya hata kweny ganz sifik. ngoja nikomae ntawaletea mrejesho.
 
Last edited by a moderator:
"hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini..."



Hicho kitu huwa kinanitokea naturally thou sijihusishi na hiyo astral projection. ila sikuwahi kufikir zaid ya kuhisi ni jambo la kawaida.
Unakuta akili inafanya kazi ila hakuna connection ya mwili na akili mpaka uji'koki' kujitingisha ndo unarudisha connection.
 
"hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini..."



Hicho kitu huwa kinanitokea naturally thou sijihusishi na hiyo astral projection. ila sikuwahi kufikir zaid ya kuhisi ni jambo la kawaida.
Unakuta akili inafanya kazi ila hakuna connection ya mwili na akili mpaka uji'koki' kujitingisha ndo unarudisha connection.

Mwenzio mara ya kwanza nilipofikaga hiyo stage niliamua kujiinua kitandani hadi nikaweza!!
kuangalia kitandani nilipotoka nikajiona nilivyolala!!
 
Mwenzio mara ya kwanza nilipofikaga hiyo stage niliamua kujiinua kitandani hadi nikaweza!!
kuangalia kitandani nilipotoka nikajiona nilivyolala!!

Ahsante mkuu umenipa moyo sana na huo ni ushahidi kuwa hii kitu inawezekana. ila jina lako ndo limenikatisha tamaa. so nijuze kama upo serious. ulijiona?
 
"hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini..."



Hicho kitu huwa kinanitokea naturally thou sijihusishi na hiyo astral projection. ila sikuwahi kufikir zaid ya kuhisi ni jambo la kawaida.
Unakuta akili inafanya kazi ila hakuna connection ya mwili na akili mpaka uji'koki' kujitingisha ndo unarudisha connection.

Hali hii inatokea pale mwanadamu anapowaza kitu kimoja kwa kina na kwa muda mrefu/kushikilia wazo moja kwa muda kama wa dakika moja na kuendelea. Iwe kwa kujua au kwakutokujua
Na mara nyingi hutokea mtu akiwa amekaa au kulala chali. pia hata ukiwa unatembea inaweza kukutokea ukajikuta unapishana na watu au mtu ambaye ni rafikiako ukashindwa kumsalimia kutokana na hiyo hali alafu ukitembea kama mita chache unakumbuka he? Kumbe nimepishana na fulani. unakuwa kama unaota vile.... Hali hii ukiweza kuifikia kwa kuamua/kujijua kuwa upo kwenye stage hiyo huwa ni stage nzuri sana ya kuuongoza ufahamu wako. Tatizo ni kuwa hutakiwi kuogopa au kudili na ule mwili wa kitandani, fanya kama unaelewa nini kinaendelea 👉ukijiuliza kulikoni nipo kwenye hali hii utaamkia kwenye ulimwengu wa kawaida 👉ukijikurupua pia utaamka baada ya sekunde chache 👇
Kinachotakiwa enjoy, yale mawazo ya uoga yakatae chapu na ujielekeze sehemu nyingine utashangaa imekuwaje hata kupaa unaweza au kama upo mji kasoro bahari unajielekeza mji wenye bahari na utakuwa huko. Stelingi yako ni mawazo yako.
 
Back
Top Bottom