Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Ushauri wangu ni kwamba subirini mpige kura kwanza alafu mtaendelea kusafiri
 
NGOJA NITOE USHUHUDA WANGU LEO.
Haya mambo ya astra projection niliyafaham kipindi nipo chuo mwaka wa pili nilikuwa napenda sana kusoma mambo ya power of positive thinking na ability of brain kwa ujumla ndo siku moja nikajikuta nimeopen link iliyonifikisha kwenye AP.
Hii mada nilitokea kuipenda sana na nikashawishika kuendelea kuisoma zaid na zaid kwenye web mbalmbal huku nikipractice, ilinichukua kama wiki tatu hivi hadi kufanikisha, nakumbuka siku ya kwanza kutoka nje ya mwili wangu nilikuwa hostel nimelala usiku, siku hiyo nilifanikiwa kuamka na kushuka juu ya dabo deka mpaka chini nilivyogeuka kuangalia juu ya kitanda nilishituka sana kuuona mwili wangu ukiwa umelala pale juu ya kitanda nikaanza kulia sababu niliona kama nimekufa hivi lakn machoz yalikuwa hayatok nikaamua kupanda tena juu ya kitanda na kumwamsha jamaa niliyekuwa nalala naye (c unajua hostel bongo nikubebana) lakin kila nikimgusa nakuwa kama simkamat hivi ,yan mwili wangu nauona kama mwili ila unakuwa kama ni hewa hivi. nikaamua kuanza kupiga kelele za kuomba msaada kwa mayowe lakn kat ya watu saba waliokuwepo chumban hakuna hata moja aliyeshituka, nikaamua kutoka nje cha ajabu wakat nashika kitasa ili nifungue mlango kilikuwa hakikamatik nakuona kama mkono umeshatoka nje, nilivojisogeza karbu mlangon nikajikuta nishatokea nje hii nayo ilinishangaza sana ghafla kuna mtu alikuwa anatokea upande wa choon nikawa namuita ila ikawa km haniskii hiv nikaamua kumfata na kumgusa kwa nyuma ila ckuweza maana mwili wangu ulikuwa kama hewa tu, nikaamua kumzunguka na kusimama mbele yake ili anione lakn akanipita, nikaona isiwe shida nikasimama tena mbele yake huku nimetanua miguu na mikono ili kumzuia asipite maana ilikuwa koridon, lakini alipita katkat yangu bila pingamiz lolote.. hapo ndo nikaijiwa na mawazo kuwa mm ndo nshakufa hivo na tena nikikumbuka na story nilizowah kusikia kuwa marehem mnavyoenda kumzika huwa anaona na kusikia kila kitu ndo nikaamin moja kwa moja kumbe ndo anakuwa katika hali hii????? nikajua ndo maana wote niliowaita kumbe hawawez kuniona wala kusikia, lkn kuna wazo likaja kichwan kuwa mbona dunian wanasema israel ndo humtoa mtu uhai wake na mbona mm mpaka mda huu sijamuona israel mtoa roho akija??? mda wote nawaza hayo nimesimama katkat ya korido na watu wanaoenda au kutoka toilet wananipita tu, hakuna hata mmoja aliyeonyeshaa hata dalili kama ananiona. likaja wazo la kuwa nikiendelea kukaa hapa nje israel atanikuta na kunichukua hivo niliamua kurud had chumbani likaja wazo kuwa inawezekana ikawa sijfa kwa sabab had kufikia hali ile natambua nilichofanya, nikaona ngoja km nilivotoka niingie tena lkn cha ajab ni kuwa bado nikaona mwili wangu na huo mwingne ni tofaut kabsa wala hauendan kila nikijarbu kuinua mguu naoona unaamka ule ule mfano wa hewa lkn ule halis umekataa, kila nikijitingisha nothing. nikajikuta nipo kwenye deep feelings kwa mbal sana nikawa kama nasikia saut za watu zikipita kwenye korido nikawa najitingisha tingisha mara nikaona nimefumbua macho lakn nikajua tu bado nitakuwa kwenye hali ile ile tu ila nikajisemea hebu nijaribu kuinua mkono nikaona unananyuka kujaribu kuinua mguu nao unanyanyuka nikasema inaweza kuwa ni wenge tu kama mara ya kwanza nikaona nishuke tena chini ya dabo deka nakuangalia tena juu ya kitanda lakin sikuuona ule mwili kama mara ya kwanza nilivouona nikaamua nitoke nje kama mara kwanza ya kupenya mlagoni ila nilijigonga mlangon ndo nikagundua utofaut wa mwanzo na sasa maana mwanzo nilikuwa mwepes sana kama upepo hivi, aseee sikuamin ikibid nitoe Embassy mbili na kwenda kukaa nje na kujiuliza ivi nilichokifanya ni ndoto au ilikuwa kweli uku nikila pafu kadha wa kadha nikichek saa mida ya saa kumi na moja kasoro asubuh na nikivuta picha la hilo tukio haikuzid hata saa moja hivi.
Ikanibid kuingia kwenye wikpedia na kuuliza swali kwa kile nilcho experience nikaja kujua kumbe ni kitu cha kawaida tu ila sema ule wote ulikuwa uoga wangu tu.
ikabid siku nyingne nijaribu tena na ile hali nilivoiona sikuogopa tena.. hapo nikaanza kupiga misele ya mitaa kwa mitaa ila cha ajabu nilichoona ni kuwa kwa mfano ukafikiria niende sehem flan nilijikuta nishafika hapo nilipotaka mda huo huo. kuna kipindi niliwaza kumuona mtu fulan ambaye alishakufa mda tu ila cha ajabu nikuwa nikionana nae tunaongea fresh ila ajabu huwa najikuta kwenye hali ya kama nimelewa hivi na kushindwa kuendelea na story na hata nikrud kwenye mwili wangu nakumbuka kuwa nimeonana na mtu fulan tukakaa na kuongea ila nakuwa sikumbuki tuliongea nini? nishajarribu mara nyingne tena kuonana nae ila hali ya kuwa tunaongea nakuwa kama nimelewa hivi hutokea tena na kushindwa kuendelea na mazungumzo...#mpaka hapo kwa atakaye amin poa na asiye amin poa na ndio maana kuna waislam,wakristu,budha,pagan n.k ili kuthibitisha kuwa sio lazma binadam wote tuamin kitu kimoja#
Ila nilikuwa naomba msaada kwa yeyote mwenye experience ya kutoka nje ya dunia . kuelekea sayar nyngne mfano mars,Jupiter n.k anisaidie ..
»»»na ndio maana naamin ukweli ndio humweka mtu huru... ukimjua Mungu lazma utampenda na ukimjua shetan lazma utamshinda...usipojua hivi basi jiandae kuwa mfungwaHURU.
Ahsante sanA.
 
Uongo Ulioenezwa kuhusu Astral projection.
1.Sio kweli kwamba ukiwa out of body/nje mwili na mtu akikugusa kwamba unakufa huo ni uongo kwa sabab ingekuwa hivo mimi ningekuwa nishakufa tayar kumbuka wakat nafanya kitandan tulikuwa tunalala wawili jaribu kufikiria vitanda vya hostel vilivyo vidogo afu mlale watu wawili unafikir ni rahis kutokugusana??? pili kama imetokea umetoka nje mwili na mtu akakugusa au kukuamsha ni huwa inatokea km signal fulan kuwa kwenye mwili wako kuwa kuna kitu kinatendeka hivo utajikuta umerud immediately na ukifumbua macho utakuta kweli kuna mtu anakuamsha hiyo mi naelezea kwa uzoefu wangu binafsi... maana hata kipind nipo holiday home nilikuwa naifanya mchana wakat nimelala kwenye kochi na ghafla nikirud kwenye physical body namkuta dogo rasi ananirukiarukia. so wanaosema ukiguswa unakufa watoe ushahid km walikufa zen wakafufuka au ni nan walimuona kafanya AP akaguswa alafu akafa... ikumbukwe pia hata ndoto nazo ni astra lakn yenyewe ni natural, ieleweke pia kuota upo sehem fula na unafanya ishu fulan hyo natural ambayo hujinkontroo yenyewe tofaut AP Ambayo wewe unakuwa una power control na kuamua kipi unataka... na ingekuwa km ni kweli unatoka nje ya mwili inasababisha kufa hata wale wanaoota wapi sehem fulan wangepotelea hukohuko wasingerud na watu weng tu wangekuwa wameshakufa.
2.Kukutana na viumbe wa ajabu mfano wa ghost n.k hii ni kweli . na ndio maana unapofanya astral projection unashauriwa uwe ktk mood nzuri na uondoe negativity zote akilin mwako, ikumbukwe kuwa utakachowaza au kufikiri ndicho utakacho kukutana nacho, ukiwaza kuona mema utayaona,ukiwaza kukutana na marehem fulani utamwona,ukiwaza kukutana na mashetani utayaona pia, ndo maana unashauriwa kuwa specific kuwa unafanya AP ili iweje, uone nn, ujifunze nn n.k??? nakumbuka nishawah kuona watu wa kutisha na ilikuwa ndo mara yangu ya kwanza kuwaona niliogopa sana cha ajab nikajikuta nimerud kwenye mwili wangu ghfla km nimevutwa na sumaku vile... na maanisha kuwa ikumbukwe kati ya mwil wako physical na na mpya kunakua kuna km kamba imewaunganisha, ila kuna mara nyingne kwa upande wangu ila hiyo kamba huwa siioni lakn ninapotaka kurud huwa najikuta nishafika ndan ya mwili bila ya kupotea ni hali ambayo cjajua nitumie maneno gan kuelewesha ila kifupi ni kama mwili wako mpya na uliouacha unakua kama unasumaku hivi ambayo hukuvuta mpaka ulipokuwepo. na pia hata hiyo mizimu haiwez kukudhuru chochote ila sema utajenga uoga na kirud fasta maana utaona inakuogopesha.#ikumbukwe astral projection unakuwa ktk ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kiroho kuna wema na maovu cha msing ni kukontro mind yako na kuondoa negativity maana utalowaza ndio utakaloliona#
NB:
kuna mambo mengi sana utajifunza ktk huu ulimwengu wa kiroho ambayo ,(ishu ni ww mwenyewe km utautumia kwa kutenda mema au maovu) itakufanya ujione tofaut sana na wengne ila tatzo ni kwamba hv vitu ukiwaambia wengne km si kukuona umechanganyikiwa basi utaonekana we ni mwehu totally au kuoneka wewe ni mchawi na hapa ndio nikapata picha kwa nini hata yesu nae alionekana au kuitwa mchawi...na hata kuambiwa "tuondokee hapa we mchawi" ukifika levo hii ndo utgundua great thkers mfano~ jesus,Mohammed,paul,Aristotle,plato n.k walivyokuwa wanaongea walikuwa wanamaanisha nn???
(binadam weng wanaangamia kwa kukosa maarifa mtu ukisema AP ni uchawi inathibitisha kua hujui AP maanake ni nini na uchawi pia hujui maanake nini...hence dat AP tz lyk dream whch u control urself)
ni uwezo ambao wameushikilia wachache na wanatumia nguvu zao zote ili kuwafanya wengne wasiujue, hivo watawatisha na kuwakatisha tamaa hili tu wao waendelee ku shine»»»»
 
Bennie 369 hongera sana we uko hatua za juu, leo usiku lala mapema kisha jaribu kwenda mars ukiona kuna tatizo basi geuza.

Kinachokuunganisha mwili wako unaouacha na huu mpya ni silver cord.
Mi pia sikuwahi kuamini kuwa mtu anaweza kufa kama mwili wake wa zamani utaguswa, kwasababu najua hata likitokea janga lolote lile lazima silver cord itakurudisha
 
Last edited by a moderator:
NGOJA NITOE USHUHUDA WANGU LEO.
Haya mambo ya astra projection niliyafaham kipindi nipo chuo mwaka wa pili nilikuwa napenda sana kusoma mambo ya power of positive thinking na ability of brain kwa ujumla ndo siku moja nikajikuta nimeopen link iliyonifikisha kwenye AP.
Hii mada nilitokea kuipenda sana na nikashawishika kuendelea kuisoma zaid na zaid kwenye web mbalmbal huku nikipractice, ilinichukua kama wiki tatu hivi hadi kufanikisha, nakumbuka siku ya kwanza kutoka nje ya mwili wangu nilikuwa hostel nimelala usiku, siku hiyo nilifanikiwa kuamka na kushuka juu ya dabo deka mpaka chini nilivyogeuka kuangalia juu ya kitanda nilishituka sana kuuona mwili wangu ukiwa umelala pale juu ya kitanda nikaanza kulia sababu niliona kama nimekufa hivi lakn machoz yalikuwa hayatok nikaamua kupanda tena juu ya kitanda na kumwamsha jamaa niliyekuwa nalala naye (c unajua hostel bongo nikubebana) lakin kila nikimgusa nakuwa kama simkamat hivi ,yan mwili wangu nauona kama mwili ila unakuwa kama ni hewa hivi. nikaamua kuanza kupiga kelele za kuomba msaada kwa mayowe lakn kat ya watu saba waliokuwepo chumban hakuna hata moja aliyeshituka, nikaamua kutoka nje cha ajabu wakat nashika kitasa ili nifungue mlango kilikuwa hakikamatik nakuona kama mkono umeshatoka nje, nilivojisogeza karbu mlangon nikajikuta nishatokea nje hii nayo ilinishangaza sana ghafla kuna mtu alikuwa anatokea upande wa choon nikawa namuita ila ikawa km haniskii hiv nikaamua kumfata na kumgusa kwa nyuma ila ckuweza maana mwili wangu ulikuwa kama hewa tu, nikaamua kumzunguka na kusimama mbele yake ili anione lakn akanipita, nikaona isiwe shida nikasimama tena mbele yake huku nimetanua miguu na mikono ili kumzuia asipite maana ilikuwa koridon, lakini alipita katkat yangu bila pingamiz lolote.. hapo ndo nikaijiwa na mawazo kuwa mm ndo nshakufa hivo na tena nikikumbuka na story nilizowah kusikia kuwa marehem mnavyoenda kumzika huwa anaona na kusikia kila kitu ndo nikaamin moja kwa moja kumbe ndo anakuwa katika hali hii????? nikajua ndo maana wote niliowaita kumbe hawawez kuniona wala kusikia, lkn kuna wazo likaja kichwan kuwa mbona dunian wanasema israel ndo humtoa mtu uhai wake na mbona mm mpaka mda huu sijamuona israel mtoa roho akija??? mda wote nawaza hayo nimesimama katkat ya korido na watu wanaoenda au kutoka toilet wananipita tu, hakuna hata mmoja aliyeonyeshaa hata dalili kama ananiona. likaja wazo la kuwa nikiendelea kukaa hapa nje israel atanikuta na kunichukua hivo niliamua kurud had chumbani likaja wazo kuwa inawezekana ikawa sijfa kwa sabab had kufikia hali ile natambua nilichofanya, nikaona ngoja km nilivotoka niingie tena lkn cha ajab ni kuwa bado nikaona mwili wangu na huo mwingne ni tofaut kabsa wala hauendan kila nikijarbu kuinua mguu naoona unaamka ule ule mfano wa hewa lkn ule halis umekataa, kila nikijitingisha nothing. nikajikuta nipo kwenye deep feelings kwa mbal sana nikawa kama nasikia saut za watu zikipita kwenye korido nikawa najitingisha tingisha mara nikaona nimefumbua macho lakn nikajua tu bado nitakuwa kwenye hali ile ile tu ila nikajisemea hebu nijaribu kuinua mkono nikaona unananyuka kujaribu kuinua mguu nao unanyanyuka nikasema inaweza kuwa ni wenge tu kama mara ya kwanza nikaona nishuke tena chini ya dabo deka nakuangalia tena juu ya kitanda lakin sikuuona ule mwili kama mara ya kwanza nilivouona nikaamua nitoke nje kama mara kwanza ya kupenya mlagoni ila nilijigonga mlangon ndo nikagundua utofaut wa mwanzo na sasa maana mwanzo nilikuwa mwepes sana kama upepo hivi, aseee sikuamin ikibid nitoe Embassy mbili na kwenda kukaa nje na kujiuliza ivi nilichokifanya ni ndoto au ilikuwa kweli uku nikila pafu kadha wa kadha nikichek saa mida ya saa kumi na moja kasoro asubuh na nikivuta picha la hilo tukio haikuzid hata saa moja hivi.
Ikanibid kuingia kwenye wikpedia na kuuliza swali kwa kile nilcho experience nikaja kujua kumbe ni kitu cha kawaida tu ila sema ule wote ulikuwa uoga wangu tu.
ikabid siku nyingne nijaribu tena na ile hali nilivoiona sikuogopa tena.. hapo nikaanza kupiga misele ya mitaa kwa mitaa ila cha ajabu nilichoona ni kuwa kwa mfano ukafikiria niende sehem flan nilijikuta nishafika hapo nilipotaka mda huo huo. kuna kipindi niliwaza kumuona mtu fulan ambaye alishakufa mda tu ila cha ajabu nikuwa nikionana nae tunaongea fresh ila ajabu huwa najikuta kwenye hali ya kama nimelewa hivi na kushindwa kuendelea na story na hata nikrud kwenye mwili wangu nakumbuka kuwa nimeonana na mtu fulan tukakaa na kuongea ila nakuwa sikumbuki tuliongea nini? nishajarribu mara nyingne tena kuonana nae ila hali ya kuwa tunaongea nakuwa kama nimelewa hivi hutokea tena na kushindwa kuendelea na mazungumzo...#mpaka hapo kwa atakaye amin poa na asiye amin poa na ndio maana kuna waislam,wakristu,budha,pagan n.k ili kuthibitisha kuwa sio lazma binadam wote tuamin kitu kimoja#
Ila nilikuwa naomba msaada kwa yeyote mwenye experience ya kutoka nje ya dunia . kuelekea sayar nyngne mfano mars,Jupiter n.k anisaidie ..
»»»na ndio maana naamin ukweli ndio humweka mtu huru... ukimjua Mungu lazma utampenda na ukimjua shetan lazma utamshinda...usipojua hivi basi jiandae kuwa mfungwaHURU.
Ahsante sanA.

Unazidi kunitamanisha!

Mimi nilijaribu nikafikia stage ambayo nilihisi mwili ni wa baridi alafu nikashindwa kufanya chochote zaidi ya akili kufanya kazi,
Yaani hata mkono ulikuwa haunyanyuki.
Ilikuwa mchana nimefunga mlango wa geto fresh, madirisha na taa nikazima.
Lakini ule muda ambao nilikwama kwa kushindwa hata kugeuza shingo, nikasikia mtu anatembea mule ndani kwa sauti kubwa kama vile amevaa ndala
Nikitaka kujigeuza ili nmuone nashindwa.
Nilikaa kwenye ile hali kama dakika 7 hivi ndio nikaweza kukurupuka
 
Unazidi kunitamanisha!

Mimi nilijaribu nikafikia stage ambayo nilihisi mwili ni wa baridi alafu nikashindwa kufanya chochote zaidi ya akili kufanya kazi,
Yaani hata mkono ulikuwa haunyanyuki.
Ilikuwa mchana nimefunga mlango wa geto fresh, madirisha na taa nikazima.
Lakini ule muda ambao nilikwama kwa kushindwa hata kugeuza shingo, nikasikia mtu anatembea mule ndani kwa sauti kubwa kama vile amevaa ndala
Nikitaka kujigeuza ili nmuone nashindwa.
Nilikaa kwenye ile hali kama dakika 7 hivi ndio nikaweza kukurupuka

yani hadi hapo ndo ulikuwa hatua ya mwisho mzee, yani ungeimagine kama una mwili mwingine ungeamka tu ila ukijenga uoga utaona mapigo ya moyo yanaenda fasta sana. na chochote utakachoona au kuhisi usiogope mfano unaweza kuhis kama mwili unamomonyoka na hapa wengi wakifika wanaogopa na kushindwa kuendelea, ila ukifanikiwa kuamka had kukaa congratulations you won
 
Bennie 369 hongera sana we uko hatua za juu, leo usiku lala mapema kisha jaribu kwenda mars ukiona kuna tatizo basi geuza.

Kinachokuunganisha mwili wako unaouacha na huu mpya ni silver cord.
Mi pia sikuwahi kuamini kuwa mtu anaweza kufa kama mwili wake wa zamani utaguswa, kwasababu najua hata likitokea janga lolote lile lazima silver cord itakurudisha

nimeshajaribu lakn kinachotokea ni kuwa nikifika km hatua fulan I feel like blurry then najikuta tena nipo kwenye physical body...
mi wakat najifunza nilikuwa cjui km kuna ishu za km cjui mtu akikugusa oooh unakufa, cjui mashetan yatakuteka nyara usirud ... labda ina wezekana kutokana na belive zangu, na ndo maana haikunitokea
 
Last edited by a moderator:
Nutarudia tena. Alafu masikio yanakuwa kama kuna upepo mkali unavuma muda wote ukishaingia kwenye ile hali
 
Unazidi kunitamanisha!

Mimi nilijaribu nikafikia stage ambayo nilihisi mwili ni wa baridi alafu nikashindwa kufanya chochote zaidi ya akili kufanya kazi,
Yaani hata mkono ulikuwa haunyanyuki.
Ilikuwa mchana nimefunga mlango wa geto fresh, madirisha na taa nikazima.
Lakini ule muda ambao nilikwama kwa kushindwa hata kugeuza shingo, nikasikia mtu anatembea mule ndani kwa sauti kubwa kama vile amevaa ndala
Nikitaka kujigeuza ili nmuone nashindwa.
Nilikaa kwenye ile hali kama dakika 7 hivi ndio nikaweza kukurupuka

Ulikuwa peke yako? Sa huyo aliyekuwa anatembea ni nani?
 
hivi wakuu hii astral projection unaweza kufanya mambo mazuri na mabaya yote yakakubali?..yaani unaweza ukatoka ukiwa na dhumuni baya mf.kuangalia vitu usivyoruhusiwa kwenye maisha ya kawaida, ukafanikiwa ukarudi?
 
Mi pia huwa nafika hiyo hatua, lakini mimi sijawahi kuhisi mtu anatembea, ila nilikuwa nikihisi kama mwili wangu hauna ushirikiano wenyewe kwa wenyewe, huwa naogopa na kudhani kuwa nataka kukata roho hivyo najilazimisha kuamka.
Cc Bennie 369 & aretasludovick
 
Last edited by a moderator:
Mi pia huwa nafika hiyo hatua, lakini mimi sijawahi kuhisi mtu anatembea, ila nilikuwa nikihisi kama mwili wangu hauna ushirikiano wenyewe kwa wenyewe, huwa naogopa na kudhani kuwa nataka kukata roho hivyo najilazimisha kuamka.
Cc Bennie 369 & aretasludovick

Ni kweli. Mfano ukitaka kunyanyua mkono au mguu au kugeuka huwezi, mara ya mwisho nilipofumbua macho nikawa nimeduwaa tu.
Baada ya sekunde chache za kuduwaa pale chumbani ndio nikaweza kukurupuka.
Kilichonishangaza sikumuona aliyekuwa anatembea mule ndani
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli. Mfano ukitaka kunyanyua mkono au mguu au kugeuka huwezi, mara ya mwisho nilipofumbua macho nikawa nimeduwaa tu.
Baada ya sekunde chache za kuduwaa pale chumbani ndio nikaweza kukurupuka.
Kilichonishangaza sikumuona aliyekuwa anatembea mule ndani

Mi nahisi ni uoga tu ulikuzidi, mi nataka nirudie nirudie wiki ijayo mpaka nifanikiwe kutoka. Acha wikiendi ipite kwanza
 
Mi nahisi ni uoga tu ulikuzidi, mi nataka nirudie nirudie wiki ijayo mpaka nifanikiwe kutoka. Acha wikiendi ipite kwanza

Hahahaa! Nilivyo na hamu na hii makitu siwezi subiri wikiend.
Uoga ulinikumba ndio maana nilipokurupuka nilifungua mlango na kuwahi nje
 
Hahahaa! Nilivyo na hamu na hii makitu siwezi subiri wikiend.
Uoga ulinikumba ndio maana nilipokurupuka nilifungua mlango na kuwahi nje

Ha ha ha swala la kukimbilia kufungua mlango nalo limenifurahisha mno. wikiendi mambo yake mengi kwakweli, acha nile raha kidogo kisha zoezi litaendelea jumatatu
 
Mi pia huwa nafika hiyo hatua, lakini mimi sijawahi kuhisi mtu anatembea, ila nilikuwa nikihisi kama mwili wangu hauna ushirikiano wenyewe kwa wenyewe, huwa naogopa na kudhani kuwa nataka kukata roho hivyo najilazimisha kuamka.
Cc Bennie 369 & aretasludovick

sio wewe tu. wengi wao hata mimi wakat naanza hiyo hali ilikuwa inanitokea ila ukiogopa tu utajikuta usharud kwenye physical body. then inabid uanze tena hivo we jikaze tu na vyote utakavyohis au kuona ujue ni hali ya kawaida ambayo huwapata weng tu. cha msingi ni focus na hali kama hizo ukuona usiogope chukulia km unachofanya unakijua... we endelea zenyewe tu zitakata...fanya jaribio mara kwa mara utajikuta unafanikiwa
 
Last edited by a moderator:
sio wewe tu. wengi wao hata mimi wakat naanza hiyo hali ilikuwa inanitokea ila ukiogopa tu utajikuta usharud kwenye physical body. then inabid uanze tena hivo we jikaze tu na vyote utakavyohis au kuona ujue ni hali ya kawaida ambayo huwapata weng tu. cha msingi ni focus na hali kama hizo ukuona usiogope chukulia km unachofanya unakijua... we endelea zenyewe tu zitakata...fanya jaribio mara kwa mara utajikuta unafanikiwa

Asante sana
Ntajitahidi kuanzia jumatatu nichukue zoezi ili mpaka kufika jumatano niwe nimeweza japo kutoka nje ya chumba changu. Ntaondoa uoga wote. Kifupi ntapuuza mawazo yoyote mabaya yatakayokuwa yanakuja badala yake ntafocus kwenye nnakotaka kwenda
 
Back
Top Bottom