George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
ahahahahah...duu nomaa sana mm hii kitu waka sio ngeni kwangu for sure mm pia ni mmoja ya wale walio wahi kutokewa na hii kitu utoton aseee ila nilikuwa siijui kabisaaa hadi kuanzia wiki jan mbili zilzopita akat napitia huu uzu ndo nikagunduaaa daaa yaani hiii ndo inafaa haswaa kusemaaa AMAIZING !!!! mmi kwa asilia yangu kuna mamvo nilitojea kutapebda haswa kutok utotn hadi hiv leo huwez amin
hakuna stuatiin niliyokuwa naifuragia kama nilivokuea naota naelea aagani yaani nee sheedaaa pia unaota unakimbizwa zen unapaaa
ishu nyingne ambayi ni nouna hii imenifanya niamini kuwa hiii ishu ni natural wala sio mazingaombwe maana hata kabla cjawah kuptua huu uzi kuna wakati taklibani zaid ya mara tatu yaani nakuwa naota zen katikati ya ndoti nakuwq kama ALIVE kiain
FULANI hv yaani najikuta katik ndoto naanza kureason mara mbilimbili hivi hapa naota au ni real event!!!!!
ila mara kwanza nikawa naishia kuconclude aah mayb bi real mfano napita kichakani natak kukojoa ila wazo linanijia kabisaa no hapa ni ndoton na sio halisia
more times hii hali inatokea ndio maana nilivptia hiii kiitu cjawa muoga wakufanya ungawa kufany artificial ni ngumu kiani fulani hivii
umenikumbusha mbali sana mkuu...
KUELEA ANGANI
nlikua napenda sana hiyo NDOTO nilivokua mdogo...
sema tuendelee kupractice bila kuchoka mkuu...
kwa hatua tuliyofikia,inaonesha muda si mrefu tutaelea mpaka NEW YORK...!
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app