chief swetu
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 224
- 240
Inaitwa kua uyaone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili somo ndio kwanza nalisoma leoNini hiyo mkuu?
Ushawahi kujaribu?Balaa
Ukitaka wakuone wanaweza kukuona ukitaka uwe invisible hata kwao pia unaweza mara nyingi wanasense hofu yako ndio wanakuona ukiwa hauna hofu wala wanakupita tu hawakuoni pia ukitoka kitu cha kwanza huwa unaona watu wawili wapo pembeni yako kila unapoenda na kila unachofanya wao wapo tu na wewe hawakuachi, wengine huwaita walinzi wengine huwaita malaika wengine huwaita viongozi wako kila mtu na jina lake ila mara nyingi wao huwa ni spirit guards wanakulinda usidhurike na wengine kama wao hawa huwa hawakuachi hadi kufa malaika wa kulia na kushoto ndio wakwanza utakao waona hata ukianza kutoka utaona mmoja anakurudisha mwingine anakutoa ukishatoka mwingine yule aliekuwa anakurudisha anasogea karibu yako zaidi kukukinga yule mwingine anakuwa anakuelekeza ukitoka bila wao basi tunasema hapo unakua umetoka low levels.. yani beginners mara nyingi huwa hawawaoni hawa zaidi ya nuru tu, hadi uanze kukifanya mjuaji ndio mambo yanaanza kutokea mengi, kuna sayari zingine ukienda unakuta viumbe wengine wanakuonyesha past, present and future kuna mambo makubwa ambayo mwenye akili finyu hawezi kuyamudu,Mr Rakims, je vingine km majini, mbuzi, punda etc wanaweza kukuona?
viumbeJe astral projection haiathiriwi na ichawi na wachawi?
Watu wachawi na wanga wanaweza kukuona?. Mwalim Rakims nijibu tafadhali
Ha ha ha ha hhauwezi kufa kweli? Unaweza ukaona nini na je unaweza kumbuka
Practice mchana mkuu usiku mara nyingi mzito na usingizi mimi pia nilianza kutoka mchana na mchana unakuwa free zaidi kuliko usiku mradi pawe huru na pametulia na mazingira yawe sio ya kutisha,Rakims nilishindwa kabisa naomba niwe mkweli juu ya hili coz whenever I tried nikuhisi utofauti wowote na kibaya zaidi nilipitiwa hadi na usingizi!
But please I need a help to practice hii kitu coz ni moja ya kitu kinachoninyima Aman na furaha kwa kushindwa kwangu na wengine wanaweza!
Bado ndio nilikua nazipitia post kabla sija practice nipate somo mkuuVipi umepractice?