Francis3
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 462
- 1,629
ndio wala sitaki kufikiria zaidi ya hapo nadhani huu uzi unataka kutengeneza misukule wengihapo ndio mwisho wako wa kufikiria umekwambia hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio wala sitaki kufikiria zaidi ya hapo nadhani huu uzi unataka kutengeneza misukule wengihapo ndio mwisho wako wa kufikiria umekwambia hivyo?
Kwa mengine ila kwa hili Mkuu niache tu mwenzakoFear is the first stage to go negatively, mkuu jitahidi kuondoa uoga kwenye hii dunia ili uishi kwa freedom
Rakims
Hatar sanaMkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenu, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.
Masharti ni haya.
Wito wangu mimi wa wafuatiliaji wa haya makitu, kama hujui unataka nini, au utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do it!. Mtu asikudanganye kuwa its very fun to go out of body, is not fun!. Too much knowledge on anything is harmful, please don't try unless you are sure what you are trying to do!.
- Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa funguo, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha kwa kukutingisha kwa nguvu na kuchange ile position yako hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
- Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ya astra plane ndio bora zaidi kuliko real world, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, wewe ni safari jumla!.
- Hizi ni highest stages za meditation ambazo haziruhusiwi kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari jumla!.
- Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening up the "third eye!"
- Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Paskali
Mkuu silver cord siyo nyepesi kama inavyoonekana, ikiwa umeshawahi kutoka OBE ndio waweza kujua maana yake lakini kama hujawahi kutoka huwezi kujua hiyo silver cord ipo strong kiasi gani, ingekua ni rahisi kukata hivyo Mimi pia ningenza na yangu kwa maana kule kuna dimensions tatu kuna moja huwa naitamani ila ni impossible kukata silver cord yako au ya mtu. Kukatika kwa hii narudia tena By Experience ni impossibleHuo mchezo unapotoka nje ya mwili unashikiliwa na kamba ya kiroho hipo kama utandu wa buibui.
Then unakuwa assisted na Nguvu za Giza ni hatari sana inapotokea kamba kukatika ndo haurudii tena mwilini kwako unaangukia tu Sheol.
Curiosity kill the cat
Mkuu rakim naomba kuulizaa zoezi hilo ukiwa huko waweza kaa kwa kiwango gani cha muda labda je hata siku mbili je inawezekana?Pia watu walioisha wahi kutoka watakuthibitishia kwamba sio rahisi kutoka unless anaeitoa awe izlael,
Pia watu walioisha wahi kutoka watakuthibitishia kwamba sio rahisi kutoka unless anaeitoa awe izlael,
Pitia Uzi vizuri mkuu!!mbona unaturudisha nyuma?Umeelezea kutoka lakini hujatoa maelezo namna ya kurudi
Mkuu rakim naomba kuulizaa zoezi hilo ukiwa huko waweza kaa kwa kiwango gani cha muda labda je hata siku mbili je inawezekana?