To tell you the hard truth-This is satanic.Lengo la haya mambo watu hawaambiwi ukweli ila kiuhalisia ni kukupeleka to the point ya kuamini wewe ni unaweza kutenda kama MUNGU anavyotenda (kujiamini wewe ni mungu).Haya mambo yalikuwepo tangia kale na kale na usidhanie firauni alipokuwa anajiamini yeye ni mungu ilitokea from no where-Ni kwenye mambo kama haya. Experience utakayokuwa unaipata kadri unavyokuwa unaelekea kwenye hii advanced stance ni role ya MUNGU kupungua maishani mwako,wakati kiuhalisia jambo la ki-MUNGU linapaswa kukuongezea more inner peace and love ya Mwenyezi MUNGU kadiri unavyoenda kwenye advanced stage lakini hii astra-p. ipo vice versa. Ukishafikia kwenye advanced stage ya Astra projection tegemea siku moja utakuja kuona kukufuru Holy Trinity ni jambo la kawaida au kuamini hakuna Mungu kabisa.Kabla ya kufungua hii pandora box waulize watu kama
Pascal Mayalla pengine watakueleza kwa uwazi ili ufanye maamuz sahihi.Kwenye mambo kama haya watu wanaomba mpaka kutembea na wake za watu na wanafanikiwa which is against scriptures.Ukweli ni kwamba MUNGU ni Mtakatifu na yote yanayohusiana nae ni Matakatifu.Ni sawa na meditation,hata kweye catholic church inaruhusiwa ikiwa tu ni Godly centered kama ku-meditate kwa kuwaza scriptures nk. and not on other unholy things including your self.
Habari mkuu,
Kumbuka kila jambo lina sehemu mbili nasikitika kuona umeelemea sehemu moja ya ubaya tu kumbuka "Right is right even if only one person is doing it and wrong is wrong even if everyone is doing it"
Kutoka nje ya mwili kwa nafasi kubwa ya uelewa wako umebase zaidi kwenye upande wa giza lakini ukirejesha kwenye mwanga basi utapata mwanga zaidi shida ni sababu husika ya mtu kujifunza kwa nini unajifunza? Mungu yupo na Miujiza ipo, hivyo hivyo uchawi upo na Shetani yupo.
Astral Projection ni UCHAWI kwa wenye kufuata njia isiyo ya sahihi na wasiojielewa
Astral Projection ni MUUJIZA kwa wenye kufuata njia sahihi na wenye kujielewa
Tangu hii mada nimeitoa humu hakuna mtu hata mmoja ambaye alishawahi kufanya Astral Projection na akawa kaexperience kisha akaja kuchangia humu na siku ikifika akichangia nitawajuza watu wote kwamba huyu kawahi kufanya Astral Projection maana kwa experince atakazo zitoa na maswali jinsi atakavyo jibu ni lazima atathibitisha kuwa aliwahi kutoka
kwa asilimia kubwa wewe na Pascal na members baadhi ambao wamekubali na kupinga uwepo na experience kuhusu astral Projection wote wametoa katika
ILLUSION na sio Experience na wanajaribu kuchangia kana kwamba wanachangia mjadala wa kidini au mjadala wa siasa hii inafanywa sana na watu wenye elimu ambao wamejaliwa hata mitume pia walishafanya hili kwa njia za sahihi na hata mashetani na wachawi pia wameshafanya hii kwa ushirikina na vitendo visivyo sahihi,
Nyie wenye uelewa kidogo wa kuanalyze haya mambo mngefanya kwa experience na kuja kuwajuza watu kuwa huku mnakokwenda ndio au sio lakini mnawajibu kwa kupitia google na youtube pamoja na za kuambiwa changanya na zako elimu haitaki mambo hayo.
Vile vile wengi wenu mmefanya lucid dream pamoja na Body paralyses ndio zimewavuruga akili na kuona ni jinsi gani OOBE ni uchawi na mambo ya kishirikina kwa watu kama nyie kupinga makala kama hii sioni ajabu kulingana na experience zenu za hapo nyuma maana kama kuna mmoja wenu aliwahi kusema mwanzoni alikuwa na telepathic ndogo ya kumtaka mschana na akampata leo akisema astral projection ni USHETANI siwezi kushangaa kwa maana experience yake ilikuwa kwa nia ya kishetani hivyo hivyo na meditation.
Mwisho nimalize kwa kusema.
ASTRAL PROJECTION:
Ni muongozo kama miongozo mingine mfano wa dini kila aliyekatika dini yake huona yake ni sahihi na ya mwingine ni tofauti na kapotoka. yote hii ni kulingana na kawaida mtu kuwa na akili ya kuambiwa kuliko kutafiti.
Mwanafunzi yoyote atakaye jifunza kwangu atajua kuwa hakuna ushetani wala uchawi katika kutoka nje ya mwili lakini kwa atakae jifunza kwenu hata jifunza kitu zaidi ya kutishwa na kuogopeshwa na usanii mwingi ikiwa ni pamoja na siasa nyie hamtaki watu wajifunze elimu zinazoweza kuwajulisha ukweli upo wapi na uongo upo wapi mnataka siku zote watu wabaki katika upotovu na ujinga hali ya kuwa sio sawa.
NB:
1+1 = 2(itabaki kuwa mbili tu kwa kila aliyeaminishwa hivi)
1+1= 11(Itabaki kuwa kosa tu kwa wapumbavu)
ukiamini
3+3 = 7(kwamba hakuna 7 bila 3+4)
Basi kuna wenzio ni dunia hii hii wanaelewa pia ukitaka kupata 7 basi kuna 2+5/5+2/7-0/(49/7)
Kila mtu anauelekeo wake katika dunia na mwenyezi Mungu unaemuamini wewe kwa imani yako kashasema mengi katika vitabu vyake na mwisho wa kila mtu ni sehemu moja katika ya mbili UTASHUKURU au UTAKUFURU.
NGUVU YA ROHO ipo kila sehemu na NGUVU YA USHETANI vilevile ipo kila sehemu hapa duniani kwa kuwa tu Mungu kataka iwe hivyo
Jitahidini tuwasaidie ndugu zetu kuelewa mambo kwa upana na sio kwa akili za kufikirika.
Experience kwanza kitu ndio useme ushuhuda usiseme mawazo kwa jambo usilolijua mkuu nimejibu watu 10 kwa quote yako moja.
Usiwe na wewe mmoja wa wenye kusoma saa 7 mchana hali ya kuwa imeandikwa 1
Rakims