Maji Chai
JF-Expert Member
- Dec 8, 2018
- 265
- 362
jaribu kifo kabisaNimejaribu mbinu zote, nimeshindwa.
Nipe mbinu nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jaribu kifo kabisaNimejaribu mbinu zote, nimeshindwa.
Nipe mbinu nyingine
Hahahah,,notedjaribu kifo kabisa
Well, si kila elimu lazima uifanye zingine unasoma kwa kuongeza maarifa ili ukija kusikia watu wanaleta ujuaji wa kitu unawatoa knock out.Oyaa mmemaliza kubishana? Nimeanza kufatilia huu uzi mwaka jana .leo hatimae nimeumaliza ! Lakn bdo cjaona mrejesho wa walioweza na kutupatia experiences zao..binafc cfanyi na cfikirii kufanya hivyo but i'm just interested in reading.
sas mzee rakims, kam inawezkana kutoka nje ya mwili na kuzungumza hata na roho za wafu it means wanaweza kutuhadithia vibe la kufa cndio?Well, si kila elimu lazima uifanye zingine unasoma kwa kuongeza maarifa ili ukija kusikia watu wanaleta ujuaji wa kitu unawatoa knock out.
Nkuhadithie ?sas mzee rakims, kam inawezkana kutoka nje ya mwili na kuzungumza hata na roho za wafu it means wanaweza kutuhadithia vibe la kufa cndio?
kama umewahi kufa bc karibu.Nkuhadithie ?
Jana tu hapokama umewahi kufa bc karibu.
tiririka sasaJana tu hapo
Depends na roho unayokutana nayo maana kwa kifo cha haki hakuna communications zaidi ya messagessas mzee rakims, kam inawezkana kutoka nje ya mwili na kuzungumza hata na roho za wafu it means wanaweza kutuhadithia vibe la kufa cndio?
Uwe unafanya asubuhi ukitoka kumka..hapo huwezi kulala kwa sababu usingizi utakuwa umeishaNajitahid kujaribu lakin nashindwa najikuta nmelala , lini unatupa somo la flaccid dreams labda tutaweza huko
Sent from my MI 5s Plus using JamiiForums mobile app
Kuna watu akili zao zipo pamoja na mwanga na wengine zipo na giza hivyo inahitaji akili nyingi kumuelewesha maisha ya mwangaTuache kutishiana..hivi vitu/nguvu vipo...hivi unadhani yule aliyetabiri kutokea kwa ajili ya ndege alikuaje? Hivi vitu ukivifanya unaonyeshwa kabisa vitu vitakavyotokea kwa siku za usoni.